Uwa saa ngap mkuuSegment ya Jicho la Mwewe nicho kitu nitakachofaidi kuanzia Leo.
Kama habari hii Ina ukweli!
Uwa saa ngap mkuuSegment ya Jicho la Mwewe nicho kitu nitakachofaidi kuanzia Leo.
Kama habari hii Ina ukweli!
Mmmh ngoja tuone kama ni kweli..
......Au manone 2..,,
Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
Kwani ni watanzania wangapi wanaweza kulipia DSTV siku hizi?..Hii nimeipata muda si mrefu kutoka kwa Ruge. Nawapa hongera sanaaa. Channel 294
Kwani ni watanzania wangapi wanaweza kulipia DSTV siku hizi?..
Kwani ni watanzania wangapi wanaweza kulipia DSTV siku hizi?..
pamoja mzaziAsante kwa taarifa.
Na hili ndio tatizo! Ukiuliza ni vipindi gani vizuri unaweza kosa jibu! Mimi huwa nafatilia tuu mahusiano. Lakini wanahitaji kuwa na vipindi. Kuonekana Dstv si tatizo!Ni hbr njema. Je wana vpnd gan vzr?
Wengi tu mbona.Kwani ni watanzania wangapi wanaweza kulipia DSTV siku hizi?..
Ni hbr njema. Je wana vpnd gan vzr?
iwe kweli isiwe kweli haupunguzi wala hauongeziMmmh ngoja tuone kama ni kweli..
......Au manone 2..,,
Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums