MoPlan
JF-Expert Member
- Dec 31, 2011
- 907
- 661
Kituo hiki binafsi cha TV kinahatarisha upendo baina ya wanajamii katika Taifa hili na kuchochea chuki na uhasama kwa kutumika kufanya propaganda za wazi wazi dhidi ya chama pinzani-CHADEMA kwa makusudi kwa kushirikiana na CCM kwa indirect way kwa kichaka cha kutangaza uzalendo!! Tabia hii umekubuhu clouds radio na sasa inaanza kumea kwenye TV!
Kwa watazamaji wa kituo hiki,wataona kuna Tangazo ambalo linaonyeshwa siku hizi linaloanza na wimbo wa Taifa na hatimae mshereheshaji kuanza kuongea na kutaka taifa liombewe huku picha za mnato zikipita!!
Propaganda hii chafu imejaa kwenye picha hizi za mnato ambapo 70% zinaonyesha wabunge wa CHADEMA wakiwa bungeni na kwa kuhusisha pia maneno ya vita na kutolea mifano ya Nigeria,Somalia,Syria,Ukraine etc huku pia yakionyeshwa mafuvu ya watu!!!
Tatzo lipo kwa nini wamebezi tu kuwaonyesha; Tundu Lissu kwa kurudia rudia akiongea na sio Mwanasheria Mkuu aliyejaribu kumpiga Kafulila ndani ya Bunge na hata kumkata kichwa??!!
Anaonyweshwa Ezekiel Wenje mara kadhaa huku akipunga vidole viwili juu na sio Serukamba aliyesema Fuc.k you ndani ya bunge???!!
Anaonyeswha Joseph Mbilinyi akivutwa na walinzi wa bunge na kwa nini sio Juma Nkamia aliyesema haongei na mbwa bali mwenye mbwa ndani ya bunge huku akimjibu binadamu mwenzie??!!
Kwa wafuatiliaji inafahamika wazi kuwa wamiliki wa kituo hiki wapo karibu na watawala na imefikia pahali sasa wakiandaa na kuhodhi dhifa za kitaifa kama tukio la uzinduzi wa video ya uzalendo ya wasanii pale Dodoma,birthday ya Kikwete na keki juu,uzinduzi wa mradi wa Malaria miaka kadhaa iliyopita utafikiri hakuna vyombo cha serikali-TBC TVS na Radio!!
Imefikia pahali hadi Raisi na mawaziri wanatumika na kituo hiki binafsi kuandaa jingles za radio huku wakikiacha solemba kituo cha Umma!!!
Hata propaganda za raisi kijana zilianzia clouds Fm 2012 kwa kuwahusisha January Makamba na Zitto kwenye segment ya kitaa kinasema katika kipindi cha XXL na vinginevyo!!
Mauaji ya Rwanda hata na kule Kenya wakati wa uchaguzi yalichochewa na vituo binafsi vya radio kwa kuchochea chuki dhidi ya upande mwingine/kabila lingine na ndio maana kuna wakurugenzi kadhaa wameshitakiwa kimataifa,clouds nao naona hawaridhiki na faida wanazopata na sasa wanajiingiza kwenye chuki za siasa kwa hadaa za uzalendo!!!
Kwa watazamaji wa kituo hiki,wataona kuna Tangazo ambalo linaonyeshwa siku hizi linaloanza na wimbo wa Taifa na hatimae mshereheshaji kuanza kuongea na kutaka taifa liombewe huku picha za mnato zikipita!!
Propaganda hii chafu imejaa kwenye picha hizi za mnato ambapo 70% zinaonyesha wabunge wa CHADEMA wakiwa bungeni na kwa kuhusisha pia maneno ya vita na kutolea mifano ya Nigeria,Somalia,Syria,Ukraine etc huku pia yakionyeshwa mafuvu ya watu!!!
Tatzo lipo kwa nini wamebezi tu kuwaonyesha; Tundu Lissu kwa kurudia rudia akiongea na sio Mwanasheria Mkuu aliyejaribu kumpiga Kafulila ndani ya Bunge na hata kumkata kichwa??!!
Anaonyweshwa Ezekiel Wenje mara kadhaa huku akipunga vidole viwili juu na sio Serukamba aliyesema Fuc.k you ndani ya bunge???!!
Anaonyeswha Joseph Mbilinyi akivutwa na walinzi wa bunge na kwa nini sio Juma Nkamia aliyesema haongei na mbwa bali mwenye mbwa ndani ya bunge huku akimjibu binadamu mwenzie??!!
Kwa wafuatiliaji inafahamika wazi kuwa wamiliki wa kituo hiki wapo karibu na watawala na imefikia pahali sasa wakiandaa na kuhodhi dhifa za kitaifa kama tukio la uzinduzi wa video ya uzalendo ya wasanii pale Dodoma,birthday ya Kikwete na keki juu,uzinduzi wa mradi wa Malaria miaka kadhaa iliyopita utafikiri hakuna vyombo cha serikali-TBC TVS na Radio!!
Imefikia pahali hadi Raisi na mawaziri wanatumika na kituo hiki binafsi kuandaa jingles za radio huku wakikiacha solemba kituo cha Umma!!!
Hata propaganda za raisi kijana zilianzia clouds Fm 2012 kwa kuwahusisha January Makamba na Zitto kwenye segment ya kitaa kinasema katika kipindi cha XXL na vinginevyo!!
Mauaji ya Rwanda hata na kule Kenya wakati wa uchaguzi yalichochewa na vituo binafsi vya radio kwa kuchochea chuki dhidi ya upande mwingine/kabila lingine na ndio maana kuna wakurugenzi kadhaa wameshitakiwa kimataifa,clouds nao naona hawaridhiki na faida wanazopata na sasa wanajiingiza kwenye chuki za siasa kwa hadaa za uzalendo!!!