Clouds TV na propaganda ya vita kisiasa

Clouds TV na propaganda ya vita kisiasa

MoPlan

JF-Expert Member
Joined
Dec 31, 2011
Posts
907
Reaction score
661
Kituo hiki binafsi cha TV kinahatarisha upendo baina ya wanajamii katika Taifa hili na kuchochea chuki na uhasama kwa kutumika kufanya propaganda za wazi wazi dhidi ya chama pinzani-CHADEMA kwa makusudi kwa kushirikiana na CCM kwa indirect way kwa kichaka cha kutangaza uzalendo!! Tabia hii umekubuhu clouds radio na sasa inaanza kumea kwenye TV!

Kwa watazamaji wa kituo hiki,wataona kuna Tangazo ambalo linaonyeshwa siku hizi linaloanza na wimbo wa Taifa na hatimae mshereheshaji kuanza kuongea na kutaka taifa liombewe huku picha za mnato zikipita!!

Propaganda hii chafu imejaa kwenye picha hizi za mnato ambapo 70% zinaonyesha wabunge wa CHADEMA wakiwa bungeni na kwa kuhusisha pia maneno ya vita na kutolea mifano ya Nigeria,Somalia,Syria,Ukraine etc huku pia yakionyeshwa mafuvu ya watu!!!

Tatzo lipo kwa nini wamebezi tu kuwaonyesha; Tundu Lissu kwa kurudia rudia akiongea na sio Mwanasheria Mkuu aliyejaribu kumpiga Kafulila ndani ya Bunge na hata kumkata kichwa??!!

Anaonyweshwa Ezekiel Wenje mara kadhaa huku akipunga vidole viwili juu na sio Serukamba aliyesema Fuc.k you ndani ya bunge???!!

Anaonyeswha Joseph Mbilinyi akivutwa na walinzi wa bunge na kwa nini sio Juma Nkamia aliyesema haongei na mbwa bali mwenye mbwa ndani ya bunge huku akimjibu binadamu mwenzie??!!

Kwa wafuatiliaji inafahamika wazi kuwa wamiliki wa kituo hiki wapo karibu na watawala na imefikia pahali sasa wakiandaa na kuhodhi dhifa za kitaifa kama tukio la uzinduzi wa video ya uzalendo ya wasanii pale Dodoma,birthday ya Kikwete na keki juu,uzinduzi wa mradi wa Malaria miaka kadhaa iliyopita utafikiri hakuna vyombo cha serikali-TBC TVS na Radio!!

Imefikia pahali hadi Raisi na mawaziri wanatumika na kituo hiki binafsi kuandaa jingles za radio huku wakikiacha solemba kituo cha Umma!!!

Hata propaganda za raisi kijana zilianzia clouds Fm 2012 kwa kuwahusisha January Makamba na Zitto kwenye segment ya kitaa kinasema katika kipindi cha XXL na vinginevyo!!

Mauaji ya Rwanda hata na kule Kenya wakati wa uchaguzi yalichochewa na vituo binafsi vya radio kwa kuchochea chuki dhidi ya upande mwingine/kabila lingine na ndio maana kuna wakurugenzi kadhaa wameshitakiwa kimataifa,clouds nao naona hawaridhiki na faida wanazopata na sasa wanajiingiza kwenye chuki za siasa kwa hadaa za uzalendo!!!
 
Nadhani chaema wawaulize contents za hizo habari na kama waliconsent kama sivyo kituo kiwajibike

Tatzo la Taasisi zetu nyingi huwa hazichukui hatua mapema,mathalani humu pia jf Dr Slaa amesusia kuweka record sawa kwa kuwaachia mods na wamiliki wa jf huku IDs zilezile zikimtukana na kumkashifu kila siku kwa vitu potoshi na threads hizo/posts zipo tu japo siwezi kumlaumu sana kwani jf ya siku hizi jukwaa la siasa Imekuwa kama facebook na double standard!!!
 
Duh umeiandika kwa jaziba kweli kweli. Lakini inategemea pia mtazamo wako na tafasiri unayotaka nayo. Hata hivyo unaweza kulalamikia tangazo hilo TCRA ambako Kamati ya maudhui italiangalia na kulitolea maamuzi.
 
Ni vyama gani vilivyowahi kutishia kumwaga damu tanzania? Hebu nijibu hilo kwa kuanzia.
 
Tatzo la Taasisi zetu nyingi huwa hazichukui hatua mapema,mathalani humu pia jf Dr Slaa amesusia kuweka record sawa kwa kuwaachia mods na wamiliki wa jf huku IDs zilezile zikimtukana na kumkashifu kila siku kwa vitu potoshi na threads hizo/posts zipo tu japo siwezi kumlaumu sana kwani jf ya siku hizi jukwaa la siasa Imekuwa kama facebook na double standard!!!

Kweli mkuu inabidi tumshauri dk.slaa aoe.
 
tatizo vijana wabongo wapo busy mitandaoni instead kuwa busy kwa kazi zitakazowapa good future.achaneni na siasa.
 
punde walikua wanaonesha tangazo mh. lowasa wasifu wake na mambo makubwa aliyoifanyia tanzania. kumekucha team lowasa
 
Ni vyama gani vilivyowahi kutishia kumwaga damu tanzania? Hebu nijibu hilo kwa kuanzia.

Nakujibu ingawa huwa sipendi kupoteza mda ku-argue na watu wanaolipwa kwa posts kutetea upuuzi na sio kwa msukumo wa uzalendo na mapenzi ya Taifa hili na watu wake!!

Rejea kauli ya Gen Abdallah Shimbo siku kadhaa kabla ya uchaguzi mkuu 2010 ambapo aliitisha waandishi wa habari huku yeye akiwa kama mnadhimu mkuu wa jeshi!!

Rejea kauli ya Waziri Mkuu ndani ya bunge wakati wa vuguvvugu la gesi kule Mtwara alipotoa amri kwa jeshi la Polisi na jeshi ya kuvunja katiba ya nchi kuwa watu wapigwe tu!!!

Rejea Kauli ya Mizengo Pinda pale aliposema kuwa wanaojihusha na mauwaji ya albino wauliwe wakipatikana,pasipokushitakiwa mahakamani!!!

Rejea Kauli ya Kikwete pale Diamond Jubilee alipotoa hotuba ya kupinga mgomo wa wafanyakazi wakiwa wanaongozwa na Mr Mgaya na kuwaambia wakithubutu kuandamana wataambulia mkongo'to na ameruhusu washughulikiwe!!

Ukisharejea hapo then azima busara uje useme hivyo vitendo vinadumisha amani ama??!! Je ndio hatua za kutoa hukumu kwa mkondo wa sheria??!!
 
Kituo hiki binafsi cha TV kinahatarisha upendo baina ya wanajamii katika Taifa hili na kuchochea chuki na uhasama kwa kutumika kufanya propaganda za wazi wazi dhidi ya chama pinzani-CHADEMA kwa makusudi kwa kushirikiana na CCM kwa indirect way kwa kichaka cha kutangaza uzalendo!! Tabia hii umekubuhu clouds radio na sasa inaanza kumea kwenye TV!

Kwa watazamaji wa kituo hiki,wataona kuna Tangazo ambalo linaonyeshwa siku hizi linaloanza na wimbo wa Taifa na hatimae mshereheshaji kuanza kuongea na kutaka taifa liombewe huku picha za mnato zikipita!!

Propaganda hii chafu imejaa kwenye picha hizi za mnato ambapo 70% zinaonyesha wabunge wa CHADEMA wakiwa bungeni na kwa kuhusisha pia maneno ya vita na kutolea mifano ya Nigeria,Somalia,Syria,Ukraine etc huku pia yakionyeshwa mafuvu ya watu!!!

Tatzo lipo kwa nini wamebezi tu kuwaonyesha; Tundu Lissu kwa kurudia rudia akiongea na sio Mwanasheria Mkuu aliyejaribu kumpiga Kafulila ndani ya Bunge na hata kumkata kichwa??!!

Anaonyweshwa Ezekiel Wenje mara kadhaa huku akipunga vidole viwili juu na sio Serukamba aliyesema Fuc.k you ndani ya bunge???!!

Anaonyeswha Joseph Mbilinyi akivutwa na walinzi wa bunge na kwa nini sio Juma Nkamia aliyesema haongei na mbwa bali mwenye mbwa ndani ya bunge huku akimjibu binadamu mwenzie??!!

Kwa wafuatiliaji inafahamika wazi kuwa wamiliki wa kituo hiki wapo karibu na watawala na imefikia pahali sasa wakiandaa na kuhodhi dhifa za kitaifa kama tukio la uzinduzi wa video ya uzalendo ya wasanii pale Dodoma,birthday ya Kikwete na keki juu,uzinduzi wa mradi wa Malaria miaka kadhaa iliyopita utafikiri hakuna vyombo cha serikali-TBC TVS na Radio!!

Imefikia pahali hadi Raisi na mawaziri wanatumika na kituo hiki binafsi kuandaa jingles za radio huku wakikiacha solemba kituo cha Umma!!!

Hata propaganda za raisi kijana zilianzia clouds Fm 2012 kwa kuwahusisha January Makamba na Zitto kwenye segment ya kitaa kinasema katika kipindi cha XXL na vinginevyo!!

Mauaji ya Rwanda hata na kule Kenya wakati wa uchaguzi yalichochewa na vituo binafsi vya radio kwa kuchochea chuki dhidi ya upande mwingine/kabila lingine na ndio maana kuna wakurugenzi kadhaa wameshitakiwa kimataifa,clouds nao naona hawaridhiki na faida wanazopata na sasa wanajiingiza kwenye chuki za siasa kwa hadaa za uzalendo!!!
clouds ni agenda ya wachache.... Itaisha tu, hilontangazo likidharauliwa litaonekana halina mantiki yoyote.... Ila chadema wakiliongelea, then litakua na mantiki

clouds ni sawa na glass y bar, utaitumia kubutudika lakini kamwe hutaikumbuka
 
tatizo vijana wabongo wapo busy mitandaoni instead kuwa busy kwa kazi zitakazowapa good future.achaneni na siasa.

Hivi tukikuuliza wewe kwa nini upo jukwaa hili utasema nini? Au hujui ni jukwaa la siasa? Umevurugwa wewe hujijui! Siasa ndio maisha yetu.
 
Hivi kumbe kuna cluods tv? Huku kwetu mbona hata haisikiki wala kuonekana? Au ndiyo ile nilioskia imejaza watangazaji misukule ya lumumba?
 
Kwa hasira na uchungu wa ufisadi unaofanywa na serikali ya c.c.em hata mimi nikionyeshwa nakata kichwa cha mwana c.c.yem nisawa tu maana tumechoka kufisadiwa na kunyonywa na c.c.em halafu tukitoa taarifa wanatuzima kama daudi mwangosi!
 
Hi tv sitiagi maanani na mda sijaangalia mana wamejaa unafiki wa kupendezesha watu flani hawasimamii ukweli ili Tanzania tuendelee lazima tuache unafiki ubinafsi na tamaa bila hvo watu watazidi kutumika tu kwa masilahi binafsi
 
Back
Top Bottom