Clouds TV, kuweni makini. Mnapotosha!

Clouds TV, kuweni makini. Mnapotosha!

Dik

JF-Expert Member
Joined
Nov 15, 2011
Posts
1,205
Reaction score
416
Kuna meseji mnatuma nami nimeipata.inasema hivi "Bunge la katiba linatarajia kukwamisha bajeti ya wizara ya maji baadaya John Mnyika kudai wizara hiyo imeshindwa kutekeleza bajeti ya mwaka jana". Mnaposema bunge la katiba mnamaanisha nini?huyu anaehusika na uandishi na usambazaji wa hizi meseji awe makini.
 
imekuwaje wamekutumia? itakuwa umejiunga.
hahahahah!!!! hawajielewi hao, umejidhalilisha kujiunga nao
 
Ifike mahala nchi yetu itambue mihimili minne ya dola yenye kujitengemea pasina kuingiliana kiutendaji na kimaamuzi. Mihimili hiyo iwe:
1. Bunge
2. Serikali
3. Mahakama
4. Media

Tatizo lililopo kwa sasa ni kwamba huo mhimili namba 4 hapo juu umefichwa lakini unaonekana kutumiwa sana na mhimili namba 2 ktk kupotosha wananchi na kuendelea kujihalalishia utawala wake.

Suala la chombo cha habari kusambaza ujumbe potofu unanipa shaka kuamini umakini na weledi wa mhariri ama msimamizi wa matangazo ktk media husika.

Tufike mahala tuamue kuwa wakweli pasipo kutegemea hongo kutoka kwa watawala na hii itawezekana tu endapo wamiliki wa media watatimiza jukumu na wajibu wao wa kulipa kodi halali serikalini hivyo kuondoa mazingira ya kuamuliwa cha kuhabarisha na kuripoti kwa wananchi kwa usahihi wake.
 
Kuna meseji mnatuma nami nimeipata.inasema hivi "Bunge la katiba linatarajia kukwamisha bajeti ya wizara ya maji baadaya John Mnyika kudai wizara hiyo imeshindwa kutekeleza bajeti ya mwaka jana". Mnaposema bunge la katiba mnamaanisha nini?huyu anaehusika na uandishi na usambazaji wa hizi meseji awe makini.

Bunge la katiba na bajeti tena?
 
imekuwaje wamekutumia? itakuwa umejiunga.
hahahahah!!!! hawajielewi hao, umejidhalilisha kujiunga nao

hata sijawahi kujiunga ndugu.nashangaa napata mamessage yao tu.
 
Ifike mahala nchi yetu itambue mihimili minne ya dola yenye kujitengemea pasina kuingiliana kiutendaji na kimaamuzi. Mihimili hiyo iwe:
1. Bunge
2. Serikali
3. Mahakama
4. Media

Tatizo lililopo kwa sasa ni kwamba huo mhimili namba 4 hapo juu umefichwa lakini unaonekana kutumiwa sana na mhimili namba 2 ktk kupotosha wananchi na kuendelea kujihalalishia utawala wake.

Suala la chombo cha habari kusambaza ujumbe potofu unanipa shaka kuamini umakini na weledi wa mhariri ama msimamizi wa matangazo ktk media husika.

Tufike mahala tuamue kuwa wakweli pasipo kutegemea hongo kutoka kwa watawala na hii itawezekana tu endapo wamiliki wa media watatimiza jukumu na wajibu wao wa kulipa kodi halali serikalini hivyo kuondoa mazingira ya kuamuliwa cha kuhabarisha na kuripoti kwa wananchi kwa usahihi wake.

ushauri mzuri sana kama utazingatiwa!
 
Back
Top Bottom