Elick amos
Member
- Sep 30, 2016
- 5
- 2
Sawa Mzee wa watu umetuxia nn (mangialiyejizeekea) utapigwa nyundo huwape tabu wazazi wako,kama unataka kuongea sema bila kaul zszo muuz mwenzio
Kipanya hamna kitu ni pumba tu anaongea, hana uelewa haswa wakija wageni waalikwa kama wanasiasa wenye akili anapwaya sana.... kama pogba..., hata assist za shida.
labda kama wanategemea kuongeza vipindi ila wa kumtoa kipanya pale sijamuona... jamaa ni mwerevu sana
Wamechoka kufikiri mi naita ni umaskini wa mawazoWamemuiba mpaka kicheko wakamleta kwao na kumuanzishia kipindi kilekile alichokuwa akikitumikia EFM...sijui wakoje hawa!!!
Hapana hawajamrudisha ila PJ ndo kaamua kurudi inawezekana ikawa ni masilahi lakini kitu kitaenda sawa EFM kila kitu kitasonga mbele macho Kwenye pesa wako vizuri wanasepa na kijijiSijaelewa kwahyo wamemludisha pj tena au
Yeye anasema yuko comfortable kwa sababu kule alipanga ila sasa yuko nyumbanikwa kweli fredwaa alikuwa mtangazaji kwelikweli alipokuwa rfa. sasa hivi amekuwa mzigo kwa ile nafasi. mpeni sehemu ingine arudie ubora wake...
ile nafasi amekuwa kama 'golikipa'...!!
Gigy money yuko huko hukoWasamehe mkuu maana ni ulimbukeni tu unawasumbua,Muda si mrefu watamchukua mpaka Gigy money..
Jiwe moja ndege wawiliEFM ni wabunifu sana halafu hata watangazaji walionao unaona kabisa hawa kichwani zimo ndomana kwa sasa wanapata matangazo kila leo na hata kampuni au mfanyabiashara tangazo lako bora ulipeleke EFM sababu wana vipindi ambavyo vina mvuto hata kuvisikiliza sababu ya ubunifu wao na wakisambaa mikoani kwa mwakani Clouds wahesabu maumivu



Nawe ni mtejaLabda kwasababu efm inaendeshwa na kijana Mdogo muuza sembe
Kwani kipanya si yule wa maishaKipanya hamna kitu ni pumba tu anaongea, hana uelewa haswa wakija wageni waalikwa kama wanasiasa wenye akili anapwaya sana
