Clouds Media Group Jisafisheni; rudisheni fedha

Clouds Media Group Jisafisheni; rudisheni fedha

Clouds kwanini hakutoa EFD RECEIPT kama sheria inavyosema?

CAG anasema hakuona risit ya EFD ?

Si unajua kutokutoa risiti ya EFD ni kosa ?

Halafu clouds hawakupeleka Kodi ya zuio TRA!


Kuna sehemu clouds Ina makosa pia. Ngoja TRA wakachukue Kodi yao
Umeongea vizuri
 
kama Clods wanadai wanazo risiti basi wazipeleke kwa CAG akazikague.
 
warudishe kwanza hiyo fedha maana haikufuata taratibu za malipo.

1. Hakuna risiti iliyotolewa hivyo haifahamiki walilipwa kwa kazi/huduma gani. hapo ndipo kwenye tatizo, hakuna invoice inayo onyesha huduma iliyo tolewa. ndio maana clouds wanahusishwa kwenye ukwapuaji wa fedha ya wananchi.
warudishe ili mchakato uanze upya.
Oh!!!! Basi wazirudishe. Halafu wanajidai hao kumbe mafisadi!!!
 
Du watanzania kusoma tu tunashindwa ,pesa iliyolipwa clouds na TBC ni halali kabisa tatizo clouds na TBC hawakutoa fiscal receipts (risiti ya kieletroniki) kiufupi hizi kampuni zinatumia fiscal invoice (invoice za kieletroniki)hakuna kubwa hapo ni kutoekewa kwako tu ndio kunakusumbua.Pesa ambayo walilipwa wasanii wa wasafi ndio haikupaswa kulipwa soma vizuri haukimbizwi na yoyote
Hicho ndio kimeondoa uhalali.ile iwe halali taratibu zote zilitakiwa zitimizwe
 
clouds acheni utetezi usio na tija, rudisheni hiyo Milioni 600 kisha utaratibu wa ulipaji uanze upya.
 
Back
Top Bottom