dali kimoko
Senior Member
- Jan 25, 2021
- 114
- 138
Hawa jamaa sina imani nao tena ndio maana mapambio yalikua mengi sana kusifu na kuabudu tu dah imauma sana.Tangu hiyo skendo ijulikane nimeacha kabisa kusikiliza/kutazama media zao hadi warudishe pesa yetu.