Njia pekee ya kujisafisha kutoka ktk uchafu huu ulio tolewa na ripoti ya CAG na kuhusisha clouds kupokea Tz sh. zaidi ya million 600 njia pekee ya kujisafisha ni kurudisha pesa ya serikali maaana utaratibu ulikiukwa na hivyo kubatilisha utaratibu wote, hakuna uhalali wa clouds kupokea fedha ambayo haikuzingatia utaratibu vinginevyo lazima kulikuwa na njama au nia ovu ya kuiibia serikali.
Kwa sasa baada ya ripoti njia pekee ni kurudisha fedha ya watanzania badala kuanza kujisafisha kupita media zenu hiyo haisaidii kwa sasa. kwa sasa ripoti ya CAG ndio inasimama kwa uzito.
Kwa sasa Clouds Media Group hamna uhalali wa kujadili ripoti ya CAG kwa sababu nyinyi ni wachafu, kwani mnatuhumiwa kukwapua fedha za umma kwa kushirikiana na watu wasio waadilifu.
Clouds njia pekee ya kujisafisha ni kurudisha pesa ya watanzania mlio ipokea kinyume na taratibu.