yahoo
JF-Expert Member
- Sep 9, 2011
- 3,527
- 1,405
Amakweli clouds wanazidi kujionesha wana maslahi na simba.Nilimsikia kibonde akifanya kampeni kwenye kipindi chao cha jahazi cha jana waliacha kuzungumzia maswala ya kijamii kama kawaida yao badala yake wakawa wanaizungumzia yanga nusu ya kipindi kizima huk u kibonde akiikashifu yanga kwa kumchezesh canavaro akicctiza waporwe point..na hao clouds ndo wa kwanza kupewa habari za yanga kunyanganya point.je watangazaji wa clouds ndo mahofsa habari wa tff?