Clouds FM wasituchezee akili watanzania wapenda burudani

Clouds FM wasituchezee akili watanzania wapenda burudani

sexologist

JF-Expert Member
Joined
Dec 5, 2010
Posts
2,276
Reaction score
976
Habari wanaJF;

Wapenda burudani wote nadhani mnafahamu kuhusu hili tamasha kubwa linaloendelea katika mikoa kadhaa ya Tanzania, linaloitwa Fiesta. Ukisikiliza matangazo ya Radio Clouds ambao ndio waandaaji na hata hapa JF wanasema kwamba kilele cha Tamasha hilo ni tarehe 18/10/2014 pale Leaders club, na kwamba mburudishaji mkuu atakuwa Mwanamuziki wa kimarekani aitwae T.I..

Katika pitapita yangu kwenye mitandao nimeona ratiba nzima ya T.I kwa mwezi October, hakuna sehemu wameandika ana'tour Dar es salaam Tanzania, mwaka huu au ujao.

Hawa clouds wameongea na T.I gani?? Au wamemchukua kwa dili kama wanavyofanya kwa mamburura ya Kitanzania yasiyojitambua...

Check hapa #T.I. Full Concert Listings on Songkick | Songkick..
Inawezekana hyperlink ikagoma si mtaalamu sana wa teknolojia ila jaribu ku'google pia.
 
Mi Napita
[h=3]Upcoming concerts[/h]
← Previous 1 2 Next →
 
Ningestuka kama ningeona kwenye ratiba yake ana show nyingine siku ya tar 18 oct. Kwa schedule ya hapo juu bado haiprove kwamba T.I hatokuwepo bongo siku ya 18 oct.
 
Habari wanaJF;

Wapenda burudani wote nadhani mnafahamu kuhusu hili tamasha kubwa linaloendelea katika mikoa kadhaa ya Tanzania, linaloitwa Fiesta. Ukisikiliza matangazo ya Radio Clouds ambao ndio waandaaji na hata hapa JF wanasema kwamba kilele cha Tamasha hilo ni tarehe 18/10/2014 pale Leaders club, na kwamba mburudishaji mkuu atakuwa Mwanamuziki wa kimarekani aitwae T.I..

Katika pitapita yangu kwenye mitandao nimeona ratiba nzima ya T.I kwa mwezi October, hakuna sehemu wameandika ana'tour Dar es salaam Tanzania, mwaka huu au ujao.

Hawa clouds wameongea na T.I gani?? Au wamemchukua kwa dili kama wanavyofanya kwa mamburura ya Kitanzania yasiyojitambua...

Check hapa #T.I. Full Concert Listings on Songkick | Songkick..
Inawezekana hyperlink ikagoma si mtaalamu sana wa teknolojia ila jaribu ku'google pia.

ratiba haiwezi kuonesha TI anakuja Bongo kwa tour ya kimuziki clouds fm hawana uwezo wa kumlipa kwa show zake anakuja kimagumashi ndo clouds fm wanapata mwanya hapo!
 
ratiba haiwezi kuonesha TI anakuja Bongo kwa tour ya kimuziki clouds fm hawana uwezo wa kumlipa kwa show zake anakuja kimagumashi ndo clouds fm wanapata mwanya hapo!

labda mwezi huu alisema anakuja kupanda mlima kilimanjaro sasa clouds walivyoinyaka hiyo wakasema hapa ndio pakutokea.
 
Kutoka Monday 13th Oct mpaka Friday 24 Oct, jamaa anaweza kutua Dar tarehe 17th Oct. Akafanya yake tare 18th na tarehe 19th Oct akarudi zake. Labda hawajaweka show ya Dar ''due to security reasons'' maana East Africa is controlled by Al Shabab
 
Hawa wazush#em tuje tukate hizo ticket thn waxemee anakuja......Rabadaba wa ugandaa#watakoma balaa litakalotokeaaa
 
Kutoka Monday 13th Oct mpaka Friday 24 Oct, jamaa anaweza kutua Dar tarehe 17th Oct. Akafanya yake tare 18th na tarehe 19th Oct akarudi zake. Labda hawajaweka show ya Dar ''due to security reasons'' maana East Africa is controlled by Al Shabab
east africa is wat.??do ur home work before u speak,east africa sio kenya.!!
 
east africa is wat.??do ur home work before u speak,east africa sio kenya.!!

Home work?? hahaha - let me google kujua tofauti kati ya Kenya na East Africa

Al Shabab controls East Africa. The fact hawajatushambulia sio kigezo kwamba intelijesia yetu ipo juu. Hawajaamua tu kwa kuwa labda hawana sababu ya kufanya hivyo, kwa sasa.
 
labda mwezi huu alisema anakuja kupanda mlima kilimanjaro sasa clouds walivyoinyaka hiyo wakasema hapa ndio pakutokea.

Kwani Mnadhani Walivyosema Tutumie FURSA Walikosea? Ndiyo Wanaitumia Sasa Hiyo FURSA Kudadadeki!
 
Kuna siku tano kati ya show ya 13 hadi 18
 
Home work?? hahaha - let me google kujua tofauti kati ya Kenya na East Africa

Al Shabab controls East Africa. The fact hawajatushambulia sio kigezo kwamba intelijesia yetu ipo juu. Hawajaamua tu kwa kuwa labda hawana sababu ya kufanya hivyo, kwa sasa.
Rudi kwenu Somalia acha kutoa povu haba baada ya kuona ngome zenu huko somalia zinadondoshwabzote wanashindwa chukua somalia peke ale wataweza ku control east africa tumia akili kufikiri usitumie tumbo
 
ratiba haiwezi kuonesha TI anakuja Bongo kwa tour ya kimuziki clouds fm hawana uwezo wa kumlipa kwa show zake anakuja kimagumashi ndo clouds fm wanapata mwanya hapo!


Upo sawa Mkuu, Clouds Fm hawana hela ya kumlipa jamaa aje kupiga show. Kilichofanyika wamemtoa kishikaji tu, ili aje azuge zuge stejini.
 
Utakuta TI ameambiwa aje kusema maneno mawili matatu halafu aondoke, kama rick ross mwaka jana, akafanya show ya dakika 15 na kuondoka. Ndivyo atakavyofanya TI
 
Back
Top Bottom