Upiversity
JF-Expert Member
- Jun 19, 2015
- 3,488
- 2,622
..We popoma cleverbright huo mgazeti wote wa nini?
...baabako!
...baabako!
Last edited by a moderator:
Endeleeni kujihadaa hivyo hivyo. CCM Bado inakubalika na ndio Chama kilichowezesha Ushindi wa Dr. Magufuli kuna Vichaa wanadai eti Magufuli ndio kaiuza CCM badala ya CCM Kumuuza Magufuli. Hawajiulizi imekuaje Kwenye Urais CCM ilipata 58 % lakin kwenye Ubunge na Udiwani imepata 70% + halafu bado kuna vichaa wanaamini CCM inachukiwa na wapiga kura wengi zaidi.
clouds ndo kitu gani? na fiesta ndo mdudu gani?
Rushwa ya ngono, pia huitumia kuwatisha wasanii wa kike si kwamba wanataka pesa, wengine Mbona tunachukua wanawake hata bure, hakuna mwenye wivu na wewe Ruge bali Tabia zake ndizo zinamhukumukwani hao wanawake ruge huwa anawashikia panga na shoka hadi wachojoe na awachape nao? una wivu na chuki za kipumbavu sana mkuu. kama wewe unashindwa kutongoza au huna hela / pesa / fedha za kuwahonga mademu potezea tu na kapige zako tu punyeto. katika hili la kutembea na wanawake nitamtetea hadi kufa kwangu mtani wangu wa kihaya ruge kwani naamini huwa hawalazimishi hao mademu na ningekuona pia una akili timamu kama pia ungetumia fursa hii hii ya kumsema ruge basi ungewapa pia somo na hawa dada zetu ambao wengi wao wanachokijua ni kuchuna tu wanaume kwa maslahi yao yanayochagizwa na tamaa zao zilizonogeshwa na ujio huu wa utandawazi. mwisho nakusaidia tu kwakuwa nimeshakugundua kuwa huna akili na kama ulisoma basi hukuelimika kisawasawa kwani nina uhakika karibu 95% ya mabosi wengi hapa tanzania wawe wapo serikalini au ktk taasisi binafsi wanatembea mno na wafanyakazi wao na kama hii haitoshi nina uhakika kuwa karibia 98% ya dada zetu wa kizazi hiki cha dot com wanapata ajira au vibarua kwa " kubanduliwa " au kugawa uroda kwa hao hao mabosi zao wa kiume. iweje umuone tu ruge mutahaba kuwa ndiyo fukska pekee hapa tanzania? ukiwa masikini wa akili na wa pesa kwa pamoja ni janga baya kuzidi hata kuwa muathirika wa virusi vya ukimwi. naomba niishie hapa na kama nitakuwa nimeongopa basi najua mwalimu wa jamvi hili nifah atanisahihisha. mimi mwenyewe nawabandua sana hadi nawachoka na bahati mbaya wengi wao hujitongozesha kwangu mwenyewe kwa kuwa wanajua mimi ni bosi na ninachokifanya " nikishawakanyaga " tu nawapotezea au nikiona wataniharibia kazi nawategeshea tu kosa la ki management kisha napata sababu na nawatosa. na labda lingine usilolijua ni kwamba hawa hawa wanawake au mademu au dada zetu kama wakiwa wengi ofisini au ktk taasisi zetu hizi halafu hutembei hata na mmoja wao jina lako litabadilishwa haraka na kuitwa " shoga " sasa usawa huu nani anataka kuitwa SHOGA? mtani wangu ruge endelea tu " kuwachapa " nao hadi wakome na wanyooke!
Duh we jamaa unasikitisha unajivunia na kujishaua kutembea hovyo na Watoto Wa watu wenye shida zao... Kama haitoshi unawafukuzisha mpaka kazi???!!!!... We jamaa unahitaji uchomwe kWa moto Wa gesi ya mtwara...
Pia inaelekea we we na ruge ni watu Fulani wenye itikadi sawa ndio maana unamtete mpumbavu mwenzio... Kama unataka kujua anachokifanya ruge ni kibaya au kizuri nenda kamuulize mke wake anavyojisikia kwa mambo anayofanya Mme wake..
Watu kama nyie ndio huwa tunawafanyia mambo mabaya huku kwetu kigoma... Umeshawahi kupata dalili zote za ukimwi lakini ukienda hosptali huonekani na ugonjwa wowote... IPO siku we we na ruge mtaingia anga za wajukuu wanaoijua dunia vizuri
. mtajuta....
Pia inaelekea mama yako alikuwa akifanyiwa hivyo na baba yako so umerithi tabia ya baba yako....
Karibu sumbawanga mkuu
Ila watanzania wanaichukia sana clouds fm na Ruge, kuna haja ya Ruge kujihoji na kutengeneza mahusiano mema na wananchi, Ruge ajishushe asikilize kwanini anachukiwa na clouds fm pia na atengeneze mapema.
Kwani Clouds ni ya Ruge? watu kweli hawana wanachokijua Clouds ni ya familia inayoitwa Kusaga
Sio Wa Tanzania. Sema vijana wa Dar na Arusha. Nenda mikoani huko uone Clouds inavyoabudiwa na kupendwa.
Justification hii naifananisha sana na Ile ya kusema CCM imechokwa. Lkn kumbe ilikua imechokwa Dar na Arusha na Kwa Wachaga.
Kwingineko kote inapendwa mpk basi