Hip Hop for life, Mbeya for Life, tangu enzi za kina Nigga J, Sun Jacko, Dicka Sharp, KBC, BBG, Sugu pia Mbeya Club ma concert ya mchana, Centre, lyunga, Meta and all over we are supporting harakati against RUGE and his media company
Nimeona hizo post, najaribu kuamini kama kweli account ilikua hacked lakini inaniwia vigumu kuamini.
Nadhani hizi ni publicity stunts kwasababu AntiVirus inazinduliwa mwezi huu na wanahitaji watu wajue hilo. Ambao watataka kuhakikisha kama ADILI hajajitoa watataka kwenda kwenye show. You get it? I'm just assuming, though it makes sense.
Na wewe ni KINEGA?
nitaraudi namchek jamaa hapo mitaa ya kati.......namdai pesa yangu kanipigia niende nikachuke.
ha ha ha tena nimedoda one 2 one.Kweli we umedoda.
Mi sio mzuri sana kwenye mambo hayo,lakini namjua Adili toka uzunguni mbeya,nawajua wote hao kina san jacko,2 proud ambae nyie mtamuita mr two sijui sugu,dika sharp pia namjua,gabby bbg nae pia hao wote ni watu wa mbeya,niliwahi kuwa maisha ya mbeya kipindi cha nyuma 1990s,Adili alikua mtoto kipindi hicho,nataka tu kujua hivi Adili ana album ngapi mpaka sasa?
Mi sio mzuri sana kwenye mambo hayo,lakini namjua Adili toka uzunguni mbeya,nawajua wote hao kina san jacko,2 proud ambae nyie mtamuita mr two sijui sugu,dika sharp pia namjua,gabby bbg nae pia hao wote ni watu wa mbeya,niliwahi kuwa maisha ya mbeya kipindi cha nyuma 1990s,Adili alikua mtoto kipindi hicho,nataka tu kujua hivi Adili ana album ngapi mpaka sasa?
Ndio maana kule kwetu hakuna kutoleana maneno kienyeji mtu akileta za kuleta unampa za chembe, ikishindikana panga moja la ugoko heshima inarudi na hiyo story inaisha sasa hii Ruge vs Sugu kila siku kila uchao..tuwape pambano watoane ngeu heshima irudi tufanye kazi ingne!!!
ant virus 2 ntaipata wapi? Nani anajua inapitakan vp na wapi?
HZ ishu za kuwaza next election nazichukia!Huyu Sugu nae sasa anajidhalilisha kuhangaika na watu wasio na akili kama Redio Mawingu.
Akicheza 2015 atarudia udeiwaka wake.
kwenye computer yake au sokoni?
ana album kam a saba hivi kwenye laptop yake but kwa kuwa yeye ni KINEGA hataki kunyonywa na wadosi akishirikiana na WAHAYA wa clouds kwa kuwa wao ni ma VIRUS wanajaribu kuwaondoa hao virus kwanza then ndio watakuja na album zao