Clouds FM, naomba hili tangazo la kazi

Clouds FM, naomba hili tangazo la kazi

Joined
Jun 29, 2015
Posts
96
Reaction score
29
juzi nliskia mkitangaza nafasi za kazi ya uhasibu, security officers, supervisor, security guard ..,kampuni mliyosema inaajiri sikusikia vizuri sijui ni KOPS, KOBIL, anayejua au aliyeiskia naomba antajie jina la kampuni na amwani ila walisema ipo mikocheni maeneo ya regency hotel
 
juzi nliskia mkitangaza nafasi za kazi ya uhasibu, security officers, supervisor, security guard ..,kampuni mliyosema inaajiri sikusikia vizuri sijui ni KOPS, KOBIL, anayejua au aliyeiskia naomba antajie jina la kampuni na amwani ila walisema ipo mikocheni maeneo ya regency hotel
Mpaka warudi tayari deadline ishapita
 
juzi nliskia mkitangaza nafasi za kazi ya uhasibu, security officers, supervisor, security guard ..,kampuni mliyosema inaajiri sikusikia vizuri sijui ni KOPS, KOBIL, anayejua au aliyeiskia naomba antajie jina la kampuni na amwani ila walisema ipo mikocheni maeneo ya regency hotel

Kk security kijotonyama
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom