Slim5
JF-Expert Member
- Jan 7, 2014
- 28,106
- 37,641
Nilikuwa sijui Mkuu. Ahsante Lavan Island
ni upotoshaji kutafsiri ushoga ni usengeWanandugu nimepokea hii msg imenishtua sana kutoka kipindi cha jahazi kupitia Arnold Kayanda, msikilize sasa anaelezea clouds fm
""kwetu sie wazanzibar ushoga sio tatizo ati(usipaniki hii sentensi haijakamilika ) sikiliza jahazi tuimalizie yalllahh? Kweli ndugu yetu ni muungwana kweli kuwaita wenzetu majina haya? Tunaamsikiliza sheni anapokataa kamwe aliotaruhusiwa Zanzibar.
Duuh nomaa nomaaa nitakupigia nitakupigia kumbe nae shogaa hahahaha
Leo hii sugu kapatana nao na hadi interview sasa ivi anahudhuria, rejea clouds 360 interview na sugu!! au sugu hakuwa na ushahidi?? mudaanalipizia sugu alipowaambia ni radio ya Mashoga