Clouds FM kuwaita wazanzibari mashoga ni sawa kweli??

Wanandugu nimepokea hii msg imenishtua sana kutoka kipindi cha jahazi kupitia Arnold Kayanda, msikilize sasa anaelezea clouds fm

""kwetu sie wazanzibar ushoga sio tatizo ati(usipaniki hii sentensi haijakamilika ) sikiliza jahazi tuimalizie yalllahh? Kweli ndugu yetu ni muungwana kweli kuwaita wenzetu majina haya? Tunaamsikiliza sheni anapokataa kamwe aliotaruhusiwa Zanzibar.
ni upotoshaji kutafsiri ushoga ni usenge
 
Back
Top Bottom