Tangu jana mchana ni miziki mfululizo hakuna program hata moja ya vipindi vyake vya kawaida inayoendelea.
Ni mziki mwanzo mwisho
Ni tatizo au wamefukuza watangazaji wote?
acha KICHAA na WEHU ww jana mbona tumeskiliza jahazi, amplifier ,sports extra
acha KICHAA na WEHU ww jana mbona tumeskiliza jahazi, amplifier ,sports extra
Ktk maisha yako epuka kutoa majibu ya jumla jumla,unajua clauds wana kanda ngapi za matangazo yao?
Ok,huku Arusha tangu jana ni miziki tu lete majibu kama unayo.
Clouds Fanya Mizaha(F.M)