King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 60,418
- 88,745
morning magic- magic fm -HABARI, sports headquarter na e sport- E-fm-MICHEZO, kwa upande wa burudani ya muziki ni E-fm. over, hiyo clouds hadi nishaisahau
Utoto unaozungumzwa ni wa ku-mute kipande alichoimba Jay Dee kwahiyo lazima tuangalie source ni kwanini imetokea hivyo!
Hapa hatuangalii nani alitenda kosa hapa tunaangalia nini kilifuatia baadae! Iwe Clouds ndio wakosaji au hapana, ukweli bado unabaki pale pale kwamba ni Jay Dee mwenyewe ndie alikataza nyimbo zake kupigwa; tena hakukataza kiuungwana, na full kejeli na kujitapa kwamba anaanzisha radio yake... miezi inapita, hiyo radio hatuioni.... watu mkaanza kudanganyana kwamba EFM ndo radio ya Radio! But in addition, wimbo unaozungumziwa hapa ni Alikufa kwa Ngoma ambayo ni ya Mwana FA, Mwana FA na Jay Dee nao hawapo kwenye good terms! Imeshatokea si mara moja wala mara mbili msanii kufuta mistari ya msanii aliyekuwa amemshirikisha kv tu they're no longer in good terms! Hili lilitokea kwa Zay B Vs Nature na hata Diamond na Kiba, bifu lao lilianzia huko... wakafutiana mistari ambayo walishirikiana! So, what if hata Mwana-FA mwenyewe hayupo ready kusikia sauti ya Jide kwenye nyimbo zake??
Kwamba ukiona mtu kafikia kutoa kauli hizo lazima ujipime, hakuna asiyefahamu kwamba Jide ni mtu aliyejaa majivuno, jeuri, dharau na maneno machafu! Jide ni mtu asieyechanganyika na wasanii wenzake lakini bado hilo halimzuii kuingia kwenye migogoro na wasanii wenzake! Katika hali ya kawaida, kv hayupo karibu na wenzake basi hata migogoro kwake isingekua imetokea! Napoteza muda kuongea mengi, lakini hivi karibuni tu tumeshuhudia anavyotumia social networks kusema maovu ya mumewe... mumewe ambae, pamoja na ukaribu wake na watu wa Clouds, lakini wakati wa bifu lao aliamua kusimama pamoja na mkewe! Kwahiyo mtu kama huyo ni ngumu kufikia conclusion kwamba walionza ukorofi ni Clouds! Leo hii Stara Thomas akiingia kwenye mgogoro na yeyote, lazima wadau watajiuliza, what's wrong lakini sio kwa Jide!
Ni mara ngapi imepata kutokea msanii kufuta mistari aliyomshirikisha msanii mwenzake kwa ajili ya haya mabifu? Mwana-FA mwenye wimbo wake ana bifu na Lady Jay Dee... what if hata Mwana-FA mwenyewe hapendi mistari aliyoimba Jide isikike kwenye nyimbo zake? That's one, but the issue ni kwamba, as long as Jay Dee ametangaza hadharani hataki utangazaji wowote ule kutoka Clouds, including kifo chake, then inabidi apokee hata hilo la kuwa muted kwenye nyimbo alizoshirikishwa!!! Ndio maana nikauliza, kutopiga nyimbo zake ni sawa lakini nyimbo alizoshirikishwa, sio sawa! Kama si maajabu tuite nini haya??Hakuna asiyejua kwanini wamefanya hivyo ila ishu kufanya hivyo ni utoto,labda mada ingekuwa inahoji kwanini clouds haipigi nyimbo za Jay dee hapo kweli ndiyo tungezungumzia beef lao ambalo imefikia hadi mwenyewe Jay dee kusema nyimbo zake zisipigwe clouds.
Lakini wanapiga nyimbo ambayo Jay dee ameshirikishwa halafu et ifike sehemu ya chorus wa-mute,sasa si bora wasipige kabisa hata nyimbo ambazo Jay dee ameshirikishwa.
Wanasambaza upendo huku wakiwa na mabif na wasanii kibaowazee wa kusambaza upendo mpoo
Jay Dee mwenyewe alitamka hadharani kwamba hataki suluhu! Unajua hapa watu wanaongea tu kwavile wanachuki zao na Clouds tangu zamani! Wakati hili bifu linaanza, Clouds walikuwa wanapiga nyimbo zake kama kawaida! Waliacha kuzipiga baada ya Jide mwenyewe kutangaza kwamba Clouds waache kupiga nyimbo zake... na akaenda mbali zaidi na kusema hata akifa, wasitangaze habari za kifo chake na Ruge pamoja na Kusaga wasihudhurie kwenye msiba wake!!! Kabla hajafkia kutamka yote hayo, Ruge alikuwa anatoa rai ya kukutana ili wayamalize waangalie tatizo lipo wapi... Jide akakataa na badala yake akawa anaendelea kutoa kashfa.nimekupata mkuu sasa hili suala wanatakiwa wote wakae chini wayamalize hakuna marefu yasiyo na ncha dunia ni mapito tujifunze kusamehe.
Sugu na microphone yake na jukwaa la kuongelea, akatoa album mzima ya kuwatukana Clouds lakini Clouds ipo pale pale... hizo ni dua za kuku tu!!!Wakati wao utafika hawa siku wakija kukosa wasikilizaji ndio watajua kosa wanalolifanya sasa hivi...
Kutopiga nyimbo za wasanii ndo "kusambaza upendo"Sasa anaposema nyimbo zake zisipigwe ni kwamba anawaambia akina Ruge au Joe hapo? Ruge anakaa studio? Kusaga aanakaa studio? Tangu lini Ruge au Kusaga akapiga nyimbo studio? Kwanza yeye hakusema Ruge au Kusaga wasipige nyimbo zake bali alisema Clouds wasipige... sasa Clouds ni mtu au taasisi? Alitaja majina kwenye msiba... hapa alisema wazi kwamba siku Jide akifa, Joseph Kusaga na Ruge wasikanyage kwenye msiba wake na kwamba wakienda, watu wawapige mawe!
nimekupata mkuu sasa hili suala wanatakiwa wote wakae chini wayamalize hakuna marefu yasiyo na ncha dunia ni mapito tujifunze kusamehe.
Acha zako hizo mkuu unafikiri kuna chenye mwanzo kisicho na mwisho?mwisho wake ni pale sisi watazamaji ambao ndio wadau tukaposema basi.Sugu na microphone yake na jukwaa la kuongelea, akatoa album mzima ya kuwatukana Clouds lakini Clouds ipo pale pale... hizo ni dua za kuku tu!!!
Kutopiga nyimbo za wasanii ndo "kusambaza upendo"
Acha zako hizo mkuu unafikiri kuna chenye mwanzo kisicho na mwisho?mwisho wake ni pale sisi watazamaji ambao ndio wadau tukaposema basi.
Andiko lako hili limeniacha empty