Clouds Entertainment Wasanda tena kwa Mh. Sugu

Clouds Entertainment Wasanda tena kwa Mh. Sugu

CLOUDS hawataki kupoteza muda na wavuta bangi!

Ukishindana na mtu kama Sugu atakushusha kwenye level yake ya bange halafu akushinde kwa experience yake ya kuwa mtumiaji mzuri wa bange.

Sugu ni wa kupuuzwa.

Hivi yule mbunge wa kuteuliwa ccm shyrose banji huwa anatumiaga nini vile na hichi anachotumia si ndio.serikali inatafuata mchawi.kwa nini wasianze na huyu ili kusaidia police kama kweli wanapambana na mihadarati manafiki utawajua tu kwa matendo yao.
 
Ukishindana na mtu kama Sugu atakushusha kwenye level yake ya bange halafu akushinde kwa experience yake ya kuwa mtumiaji mzuri wa bange.

Sugu ni wa kupuuzwa.

Kama tulivyokupuuza wewe na comment yako.
 
Hivi yule mbunge wa kuteuliwa ccm shyrose banji huwa anatumiaga nini vile na hichi anachotumia si ndio.serikali inatafuata mchawi.kwa nini wasianze na huyu ili kusaidia police kama kweli wanapambana na mihadarati manafiki utawajua tu kwa matendo yao.

Huyo bangi anavuta toka yuko sec kaka yke n mdogo wake wa kiume ni mateja mda sana bangi kwao ni kna mboga
 
Ww ni k.m. Mussa Alan,chuki za kisiasa ulizonazo unazipeleka hadi kwny vitu visivy vya siasa.Haki ya nani nikikupata lazima nikupumulie kwa nyuma nikufumue huko nyuma

hahahaaaaa....mkuu msamehe bure tu coz magamba karibia wote niwagonjwa xo wanatafuta sababu ya vifo vyao
 
Clouds walisha maliza ugomvi na Sugu na hawan ugomvi...na kwanza sio kwamba wanamuogopa acheni uchochezi.
 
Umofia kwenu wana JF,

Jana kwenye kipindi cha Clouds TV walikuwa wanafanya mahojiano na Faiza Ally(Aliyekuwa mzazi wa sugu).Cha kushangaza ni kwamba kuanzia mwanzo hadi mwisho hakuna sehemu yeyote walilitaja jina la sugu ingawa faiza alilitaja vizuri ila clouds wamekata sehemu zote alizotajwa.Navyojua Clouds wanapenda kutaja watu kwa skendo lakini kwa sugu wamesanda maana kile kipindi kingeenda kama kilivyo mziki wa sugu ungekuwa mzito zaidi ya ule wa ant-virus 2011 maana uliwashusha sana na ndio maana clouds wakaona wasilianzishe.Safi sana sugu hakika Clouds Nzima wanakuogopa.
nilijua ngumi kumbe stori tu..
 
Ukishindana na mtu kama Sugu atakushusha kwenye level yake ya bange halafu akushinde kwa experience yake ya kuwa mtumiaji mzuri wa bange.

Sugu ni wa kupuuzwa.

idd azan
 
Kipind kilirushwa kitambo,pili ole ni privacy Yao wao kama clouds wasingeweza kuacha jina litajwe hewan haihusiani na bifu wala nn
 
Umofia kwenu wana JF,

Jana kwenye kipindi cha Clouds TV walikuwa wanafanya mahojiano na Faiza Ally(Aliyekuwa mzazi wa sugu).Cha kushangaza ni kwamba kuanzia mwanzo hadi mwisho hakuna sehemu yeyote walilitaja jina la sugu ingawa faiza alilitaja vizuri ila clouds wamekata sehemu zote alizotajwa.Navyojua Clouds wanapenda kutaja watu kwa skendo lakini kwa sugu wamesanda maana kile kipindi kingeenda kama kilivyo mziki wa sugu ungekuwa mzito zaidi ya ule wa ant-virus 2011 maana uliwashusha sana na ndio maana clouds wakaona wasilianzishe.Safi sana sugu hakika Clouds Nzima wanakuogopa.

'Umofia' ndo lugha gani hiyo? Rekebisha lugha yako kwanza.
 
Ukishindana na mtu kama Sugu atakushusha kwenye level yake ya bange halafu akushinde kwa experience yake ya kuwa mtumiaji mzuri wa bange.

Sugu ni wa kupuuzwa.

Basi kumbe ana akili sana kama ataeza kukuleta kati 18 zake nawe ukaja nani fa.la hapo sasa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom