Clouds Entertainment Wasanda tena kwa Mh. Sugu

Clouds Entertainment Wasanda tena kwa Mh. Sugu

King Kong III

JF-Expert Member
Joined
Oct 15, 2010
Posts
60,371
Reaction score
88,585
Umofia kwenu wana JF,

Jana kwenye kipindi cha Clouds TV walikuwa wanafanya mahojiano na Faiza Ally(Aliyekuwa mzazi wa sugu).Cha kushangaza ni kwamba kuanzia mwanzo hadi mwisho hakuna sehemu yeyote walilitaja jina la sugu ingawa faiza alilitaja vizuri ila clouds wamekata sehemu zote alizotajwa.Navyojua Clouds wanapenda kutaja watu kwa skendo lakini kwa sugu wamesanda maana kile kipindi kingeenda kama kilivyo mziki wa sugu ungekuwa mzito zaidi ya ule wa ant-virus 2011 maana uliwashusha sana na ndio maana clouds wakaona wasilianzishe.Safi sana sugu hakika Clouds Nzima wanakuogopa.
 
Ukishindana na mtu kama Sugu atakushusha kwenye level yake ya bange halafu akushinde kwa experience yake ya kuwa mtumiaji mzuri wa bange.

Sugu ni wa kupuuzwa.
 
Huwezi kuwa mbabe miaka yote, na kwa kila mtu. The game has changed a lot the Sugu walomnyanyasa wakati artist is not the Sugu they see now. kuna point unakubali matokeo tuuu.
 
Ukishindana na mtu kama Sugu atakushusha kwenye level yake ya bange halafu akushinde kwa experience yake ya kuwa mtumiaji mzuri wa bange.

Sugu ni wa kupuuzwa.

Mchawi msemeni.. sifa ya kupaa na ungo mpeni.
 
Corolado in America hiyo bangi imehalalishwa inaingiza kipato likubwa sana..Tz vipi?

Sugu ni sugu tu huwezi shindana nae hata siku moja,tukiongea ukweli walisanda na pesa wakampa.
 
Ukishindana na mtu kama Sugu atakushusha kwenye level yake ya bange halafu akushinde kwa experience yake ya kuwa mtumiaji mzuri wa bange.

Sugu ni wa kupuuzwa.


Je, mnawapuuza mawaziri wenu wanaovuta bangi nyie magamba?
 
Ukishindana na mtu kama Sugu atakushusha kwenye level yake ya bange halafu akushinde kwa experience yake ya kuwa mtumiaji mzuri wa bange.

Sugu ni wa kupuuzwa.

nilitaka kukupa like ila nilivyo ona avatar name yako...
 
CLOUDS hawataki kupoteza muda na wavuta bangi!

Ww ni k.m. Mussa Alan,chuki za kisiasa ulizonazo unazipeleka hadi kwny vitu visivy vya siasa.Haki ya nani nikikupata lazima nikupumulie kwa nyuma nikufumue huko nyuma
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom