Kwenye kipindi cha 360 kamanda Mpinga alisikika akipiga marufuku chama cha kutetea abiria kufanya shughuli mikoani na badala yake wafanye kazi ya kuwaelimisha raia kwenye stand kuu Dar. Pia akasema chama hicho kazi yake ni kuekumisha na sio kusimamia sheria kwa sababu jukumu lakusimamia sheria ni la jeshi la polisi.
Baada ya kumaliza kusema watangazaji wa clouds wakaanza kuichambuwa hiyo kauli. Cha kushangaza badala ya kusema kauli ya kamanda Mpinga wakaja na uchambuzi tofauti na nitanukuu:
Mtangazaji wa kiume: Kamanda Mpinga amekosea kwa sababu hana mamlaka ya kukifuta chama akaenda mbali zaidi na kumuuliza mwenzake hivi kweli kamanda Mpinga ana haki ya kisheria kukifungia chama?
Kiuhalisia clouds 360 wamepotosha, kamanda Mpinga hajakifungia chama hiki bali amesimamisha shughuli zao mikoani na kuagiza wafanye kazi zao stand kuu. Pia amewaasa kutosimamia sheria ila kutoa elimu kwa wasafiri kama ilivyoainishwa ktk katiba yao.
Kiukweli clouds 360 TCRA fine inawahusu. Reff 360 ya tarehe 23/12/2016 asubuhi.
Baada ya kumaliza kusema watangazaji wa clouds wakaanza kuichambuwa hiyo kauli. Cha kushangaza badala ya kusema kauli ya kamanda Mpinga wakaja na uchambuzi tofauti na nitanukuu:
Mtangazaji wa kiume: Kamanda Mpinga amekosea kwa sababu hana mamlaka ya kukifuta chama akaenda mbali zaidi na kumuuliza mwenzake hivi kweli kamanda Mpinga ana haki ya kisheria kukifungia chama?
Kiuhalisia clouds 360 wamepotosha, kamanda Mpinga hajakifungia chama hiki bali amesimamisha shughuli zao mikoani na kuagiza wafanye kazi zao stand kuu. Pia amewaasa kutosimamia sheria ila kutoa elimu kwa wasafiri kama ilivyoainishwa ktk katiba yao.
Kiukweli clouds 360 TCRA fine inawahusu. Reff 360 ya tarehe 23/12/2016 asubuhi.