Clouds 360? more like Clouds 180!

Clouds 360? more like Clouds 180!

Kama wewe ni Mtanzania wa kutafuta habari ambazo ni balanced na zisizokuwa biased basi usipoteze muda wako wenye thamani kuangalia hawa ngedere wa Clouds asubuhi.

Double Standard Fools!!!
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Nimecheka sana!!ngoja niache kuwaangalia
 
Azam tv na tv zake zote wameamua kuwa machawa, clouds na kipindi cha 360 ndio wamepotea kabisa, chanel ten na tbc ndio tv zao kabsa juko kutwa mapambio kidogo ITV wanaonesha ukomavu wao kwenye uwasilishaji wa habari nyeupe wanasema na vyekundu wanasema.
 
Back
Top Bottom