Clouds 360 bahati huja mara moja tu!

Clouds 360 bahati huja mara moja tu!

Hizo ni fursa...Acha roho mbaya mkuu muache kijana mwenzako ajitafutie
 
Mfano watu waliofanikiwa kama David Mosha ataacha biashara zake akapinge soga clouds kisa kuna uhuru?
Mbona alitaka ubunge kama amefanikiwa sema dewji labda lakini huyu hamna kitu
 
Hassan Ngoma nilimuona mjinga toka siku ya kwanza nilipomuona kwenye semina ya fursa shinyanga, wakati anajitambulisha alisema akija kuongea atatuelezea namna ya kuanzisha biashara with zero budget
Alichokuja kukiongea sitakaa nisahau ule muda nilioupoteza kwenye ule ukumbi
Alisemaje?
 
Mbona alitaka ubunge kama amefanikiwa sema dewji labda lakini huyu hamna kitu
Kwenye ubunge matajiri hawafati hela isipokuwa na wanataka kuwa na access ya kulinda biashara zao, mfano ukiwa mbunge unaweza kumpigia simu direct PM lakini RC hawezi kumpigia direct PM mpaka aombe kwa katibu wake. Dewji, Rostamu, Abood wote hawa wanapesa lakini wanataka kulinda maslahi yao, pia sheria zinazotungwa lazima ziwe na unafuu kwenye biashara zao mkuu.
 
Kwenye ubunge matajiri hawafati hela isipokuwa na wanataka kuwa na access ya kulinda biashara zao, mfano ukiwa mbunge unaweza kumpigia simu direct PM lakini RC hawezi kumpigia direct PM mpaka aombe kwa katibu wake. Dewji, Rostamu, Abood wote hawa wanapesa lakini wanataka kulinda maslahi yao, pia sheria zinazotungwa lazima ziwe na unafuu kwenye biashara zao mkuu.
Hizo swaga za kizamani sio kipindi hiki....sasa hivi wafanyabiashara hamna kitu wanapumulia mrija. Hususani dizani hiyo waliozoea madili madili
 
Hivi Hassan Ngoma ana undugu na Donard Ngoma wa Yanga? kama upo basi tusimlaumu ile rangi + ccm = zero brain
 
Back
Top Bottom