Kwa urahisi kama upo Dar nenda Ministry of Health. Kwa mikoani muone Regiona Medical Officer. Naheshimu sana watoa huduma hii. Ni muhimu kwa taifa lakini wamesahauliwa. Ndio uti wa mgongo wa huduma za tiba Tanzania. ONYO! Punde umalizapo masomo na kuanza kazi usiwe ukitoa huduma za tiba kwenye eneo lako kwa kupokea hongo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.