Anita Makirita
JF-Expert Member
- Jul 16, 2021
- 1,409
- 2,254
Pharmaceutical science na pharmacy ni vitu viwili tofauti mshamba we!Ushauri mbovu, katika kozi ambazo hazina mchongo tena Tanzania basi pharmacy ni number 1 inazidiwa hata na IT! yes haina mchongo.
Pharmaceutical science haina limitations za kudahiri wanafunzi na vyuo vyote uvijuavyo vinavyotoa kozi ya pharmacy vina wanafunzi 400+ kwa level zote š hawa wanaenda wapi wakimaliza?
Nimehudhuria mahafali ya mwaka jana ya vyuo viwili UDOM na ST John vitabu vyao vya mahafali vimejaa mvua ya hao watu balaa
Yapo mtaani napishana nayo kila siku
