Clinical Medicine na Nursing ipi bora?

Clinical Medicine na Nursing ipi bora?

Kwa mtazamo wangu hamna hata kilicho bora zaid ya mwenzie hapo zote ni 50 - 50.

Inategemea sana mhusika unataka nn na una malengo gani hapo bdae.

Kama una mpango wa kuajiriwa what if ukakosa ajira za serikal, maana vijiwe vya kitaa natumain utaweza kupata kwa kozi yoyote kati ya hizo ingawa kutokana na wahitimu kuwa wengi wa koz hizo (na nyingine za afya) kitaa utegemee mshahara kduchu tofaut na matarajio yako coz wahitim wapo wengi kitaa so demand imeshuka.

Je umewaza kujiajir kutokana na ujuzi wako wa afya kama mambo ya ajira hayajakaa poa, so anza pia kufikiria na kozi za kuweza kujiajir pindi umalizapo masomo yako kama Medical Lab na Pharmacy, Dental health in case ajira haijapatikana.

Sababu Nursing na CO haitoi nafasi ya kujiajir kibongo bongo.
Lakin pia Radiology ni koz ambayo kwa mtazamo naona bado ipo on demand kutokana na wataalam kuwa wachache.

#take it or leave it ni mtazamo tu!
 
Kwa mtazamo wangu hamna hata kilicho bora zaid ya mwenzie hapo zote ni 50 - 50.

Inategemea sana mhusika unataka nn na una malengo gani hapo bdae.

Kama una mpango wa kuajiriwa what if ukakosa ajira za serikal, maana vijiwe vya kitaa natumain utaweza kupata kwa kozi yoyote kati ya hizo ingawa kutokana na wahitimu kuwa wengi wa koz hizo (na nyingine za afya) kitaa utegemee mshahara kduchu tofaut na matarajio yako coz wahitim wapo wengi kitaa so demand imeshuka.

Je umewaza kujiajir kutokana na ujuzi wako wa afya kama mambo ya ajira hayajakaa poa, so anza pia kufikiria na kozi za kuweza kujiajir pindi umalizapo masomo yako kama Medical Lab na Pharmacy, Dental health in case ajira haijapatikana.

Sababu Nursing na CO haitoi nafasi ya kujiajir kibongo bongo.
Lakin pia Radiology ni koz ambayo kwa mtazamo naona bado ipo on demand kutokana na wataalam kuwa wachache.

#take it or leave it ni mtazamo tu!
Saafi nachukua hiii naona ni nzuri
 
Kwa mtazamo wangu hamna hata kilicho bora zaid ya mwenzie hapo zote ni 50 - 50.

Inategemea sana mhusika unataka nn na una malengo gani hapo bdae.

Kama una mpango wa kuajiriwa what if ukakosa ajira za serikal, maana vijiwe vya kitaa natumain utaweza kupata kwa kozi yoyote kati ya hizo ingawa kutokana na wahitimu kuwa wengi wa koz hizo (na nyingine za afya) kitaa utegemee mshahara kduchu tofaut na matarajio yako coz wahitim wapo wengi kitaa so demand imeshuka.

Je umewaza kujiajir kutokana na ujuzi wako wa afya kama mambo ya ajira hayajakaa poa, so anza pia kufikiria na kozi za kuweza kujiajir pindi umalizapo masomo yako kama Medical Lab na Pharmacy, Dental health in case ajira haijapatikana.

Sababu Nursing na CO haitoi nafasi ya kujiajir kibongo bongo.
Lakin pia Radiology ni koz ambayo kwa mtazamo naona bado ipo on demand kutokana na wataalam kuwa wachache.

#take it or leave it ni mtazamo tu!
Ushauri mbovu, katika kozi ambazo hazina mchongo tena Tanzania basi pharmacy ni number 1 inazidiwa hata na IT! yes haina mchongo.

Pharmaceutical science haina limitations za kudahiri wanafunzi na vyuo vyote uvijuavyo vinavyotoa kozi ya pharmacy vina wanafunzi 400+ kwa level zote 😝 hawa wanaenda wapi wakimaliza?

Nimehudhuria mahafali ya mwaka jana ya vyuo viwili UDOM na ST John vitabu vyao vya mahafali vimejaa mvua ya hao watu balaa
Yapo mtaani napishana nayo kila siku
 
Ushauri mbovu, katika kozi ambazo hazina mchongo tena Tanzania basi pharmacy ni number 1 inazidiwa hata na IT! yes haina mchongo.

Pharmaceutical science haina limitations za kudahiri wanafunzi na vyuo vyote uvijuavyo vinavyotoa kozi ya pharmacy vina wanafunzi 400+ kwa level zote hawa wanaenda wapi wakimaliza?

Nimehudhuria mahafali ya mwaka jana ya vyuo viwili UDOM na ST John vitabu vyao vya mahafali vimejaa mvua ya hao watu balaa
Yapo mtaani napishana nayo kila siku
Saawa kaka nimependa mchango wako lakini naomba unisaidie swali langu lile la msingi
 
Ushauri mbovu, katika kozi ambazo hazina mchongo tena Tanzania basi pharmacy ni number 1 inazidiwa hata na IT! yes haina mchongo.

Pharmaceutical science haina limitations za kudahiri wanafunzi na vyuo vyote uvijuavyo vinavyotoa kozi ya pharmacy vina wanafunzi 400+ kwa level zote hawa wanaenda wapi wakimaliza?

Nimehudhuria mahafali ya mwaka jana ya vyuo viwili UDOM na ST John vitabu vyao vya mahafali vimejaa mvua ya hao watu balaa
Yapo mtaani napishana nayo kila siku
Watu wa namna hii unakuta hata la saba hawakumaliza
 
Ushauri mbovu, katika kozi ambazo hazina mchongo tena Tanzania basi pharmacy ni number 1 inazidiwa hata na IT! yes haina mchongo.

Pharmaceutical science haina limitations za kudahiri wanafunzi na vyuo vyote uvijuavyo vinavyotoa kozi ya pharmacy vina wanafunzi 400+ kwa level zote hawa wanaenda wapi wakimaliza?

Nimehudhuria mahafali ya mwaka jana ya vyuo viwili UDOM na ST John vitabu vyao vya mahafali vimejaa mvua ya hao watu balaa
Yapo mtaani napishana nayo kila siku
Acha kukatisha watu tamaa kiasi hicho. Juzi tu tunaona taarifa kuwa wafamasia ambao wako registered ni wachache sana. Kama sijasahau hawazidi hata elfu nne. Lakini ulivyotoa takwimu zako za wafamasia graduates mtu anaweza kuhisi kila nyumba tz kuna mfamasia. Cha msingi yeye aangalie moyo wake unapenda nini katika kozi afya. Awe vizuri kwa huo upande atakaochagua..halafu uone kama hatofanikiwa malengo yake.
 
Acha kukatisha watu tamaa kiasi hicho. Juzi tu tunaona taarifa kuwa wafamasia ambao wako registered ni wachache sana. Kama sijasahau hawazidi hata elfu nne. Lakini ulivyotoa takwimu zako za wafamasia graduates mtu anaweza kuhisi kila nyumba tz kuna mfamasia. Cha msingi yeye aangalie moyo wake unapenda nini katika kozi afya. Awe vizuri kwa huo upande atakaochagua..halafu uone kama hatofanikiwa malengo yake.
Jamaa kashakwambia "pharmacy haina mchongo inazidiwa na IT"

Ikabid nicheke kimya kimya , maana sitak mjadala usio na tija ntasumbua vidole vyangu ku'type na huyoo mzee wa Takwimu**
 
Kwa mtazamo wangu hamna hata kilicho bora zaid ya mwenzie hapo zote ni 50 - 50.

Inategemea sana mhusika unataka nn na una malengo gani hapo bdae.

Kama una mpango wa kuajiriwa what if ukakosa ajira za serikal, maana vijiwe vya kitaa natumain utaweza kupata kwa kozi yoyote kati ya hizo ingawa kutokana na wahitimu kuwa wengi wa koz hizo (na nyingine za afya) kitaa utegemee mshahara kduchu tofaut na matarajio yako coz wahitim wapo wengi kitaa so demand imeshuka.

Je umewaza kujiajir kutokana na ujuzi wako wa afya kama mambo ya ajira hayajakaa poa, so anza pia kufikiria na kozi za kuweza kujiajir pindi umalizapo masomo yako kama Medical Lab na Pharmacy, Dental health in case ajira haijapatikana.

Sababu Nursing na CO haitoi nafasi ya kujiajir kibongo bongo.
Lakin pia Radiology ni koz ambayo kwa mtazamo naona bado ipo on demand kutokana na wataalam kuwa wachache.

#take it or leave it ni mtazamo tu!
Degree ya nursing ❌
diploma or certificate ya nursing ✅

Based na ajira za afya za juz tu apa
 
Ushauri mbovu, katika kozi ambazo hazina mchongo tena Tanzania basi pharmacy ni number 1 inazidiwa hata na IT! yes haina mchongo.

Pharmaceutical science haina limitations za kudahiri wanafunzi na vyuo vyote uvijuavyo vinavyotoa kozi ya pharmacy vina wanafunzi 400+ kwa level zote hawa wanaenda wapi wakimaliza?

Nimehudhuria mahafali ya mwaka jana ya vyuo viwili UDOM na ST John vitabu vyao vya mahafali vimejaa mvua ya hao watu balaa
Yapo mtaani napishana nayo kila siku
Ushawahi kuugua kichaaa kijanaa tena kilee kikalii cha mbwaaa
 
Kozi za kusoma zitakazokusaidia kujiajiri na baadae kuajiri ni
1. Medical laboratory
2. Medical dentist
3. Kidogo pharmacist

Hizo zitakusaidia sana. Clinician na nursing utasubiria kutumwa tu.
Dentist anajiajiri vipi?? Katika Course za afya zote nyepesi kujiajiri ni Pharmacy...

Kijana achana na CO au nursing soma famasi ipo siku utakumbuka utanishukuru.

Dakatari siku hizi analia anaishia kupeaa laki 3 hataki achape lapaa
 
Acha kukatisha watu tamaa kiasi hicho. Juzi tu tunaona taarifa kuwa wafamasia ambao wako registered ni wachache sana. Kama sijasahau hawazidi hata elfu nne. Lakini ulivyotoa takwimu zako za wafamasia graduates mtu anaweza kuhisi kila nyumba tz kuna mfamasia. Cha msingi yeye aangalie moyo wake unapenda nini katika kozi afya. Awe vizuri kwa huo upande atakaochagua..halafu uone kama hatofanikiwa malengo yake.
 
Back
Top Bottom