Clinical medicine na diploma ya pharmacy

STALLEY

JF-Expert Member
May 5, 2012
619
206
Habari wakuu naomba ufafanuzi hizi ipi ina fursa nyingi katika ajira na pia ipi nirahisi kujiendeleza hapo baadae kama mtu ukitaka kujiendeleza na ipi ina mshahara mzuri .naomba kuwasilisha nategemea majibu yenye kujenga
 
Kujiendeleza ni juhudi yako tu,ukifaulu vizuri utakubalika tu.
 
Hajakudanganya ndivyo ilivyo labda udom sio MUHAS, MUHAS wanachukua co wachache sana
 
Back
Top Bottom