Chacha Rotente Jr
Member
- Jul 31, 2013
- 24
- 12
2026
wee tunaijua hiyoo!
Kwa bahati mbaya, Watu wanasoma vichwa vya habari na kucomment bila kumsikiliza.Umemsikiliza lakini?
Mwandambo bado yupoKwa bahati mbaya, Watu wanasoma vichwa vya habari na kucomment bila kumsikiliza.
Angalau wewe umemsoma! Ni mjanja sana. After all wengine tunapenda mtu anayeeleza ukweli wa makosa wayafanyao viongozi wetu. Awe CCM au nije ya CCM. Tunataka mtu ambaye anayeeleza akiwa na sober mind, asiwe biased. Hicho kiatu kakivaa mwanandimboMwandambo bado yupo
Sasa huyo mwalimu wa chekechea atatushauri nini sisi na madigirii yetu?Mwanamitandao Clemence Mwandambo amesema amekuwa akitumia video anazochapisha mtandaoni katika kuwashauri wanasiasa na kuwasilisha mawazo yake, lakini mara nyingine wanasiasa wamekuwa hawataki kuambiwa mawazao tofauti na wakiambiwa hivyo wanaona kama wanaowaambia wana kiburi.
"Kwa bahati mbaya sana tuna wanasiasa machifu hawataki ni watu ambao hawataki kusikia wazo kinyume na wanavyofikiri wakiona unatoa wazo kinyume na wanavyofikiri wanakuona kama una kiburi"
Ameeleza kuwa kutokana na kuwa hayupo kwenye mfumo wa kufanya maamuzi serikalini yeye video zake ndiyo njia ya kufikisha ujumbe.
"Mimi sipo kwenye 'system' ya serikali lakini nikipaza sauti kupitia simu labda naweza nikasikika lakini wanakua hawaamini maoni yangu" ameongeza Mzee Mwandambo