Classmate kaniteka akili zangu

Classmate kaniteka akili zangu

Ntumie number yake nimuelezee hisia zako kwake, naona bado una zile element za u class ment nae, yeye akishakuelewa haina shida kazi kwakoo
 
Watu wengine bwana, mnataka kula mb za watu tuu
 
Jibu simple

Chukulia wewe una demu wako halafu kuna jamaa, alikuwa ana mpenda lakini hakumwambia ikafika siku wakaonana basi huyo jamaa naye aka mwambia demu wako kuwa ana mpenda, demu wako akawa ana muelewa ila tatizo likawa ni YUKO NA WEWE, unge wish demu wako afanyanje!!?
Ukisha pata jibu, igeuze stori irudishe kwako fanya ambacho ungewish kitokee

*vile ambavyo ungetaka wewe utendewew basi watendee na wengine vivyo hivyo.
Period..umemaliza mkuu
 
Jibu simple

Chukulia wewe una demu wako halafu kuna jamaa, alikuwa ana mpenda lakini hakumwambia ikafika siku wakaonana basi huyo jamaa naye aka mwambia demu wako kuwa ana mpenda, demu wako akawa ana muelewa ila tatizo likawa ni YUKO NA WEWE, unge wish demu wako afanyanje!!?
Ukisha pata jibu, igeuze stori irudishe kwako fanya ambacho ungewish kitokee

*vile ambavyo ungetaka wewe utendewew basi watendee na wengine vivyo hivyo.
The Law of Karma...
 
Ana mpenzi wake lakini bado anakuelewa! Ingekuwa hakuelewi ningekushauri umfuatilie, otherwise wewe ndo umezubaa mwenzako anatoa part time.
 
Jibu simple

Chukulia wewe una demu wako halafu kuna jamaa, alikuwa ana mpenda lakini hakumwambia ikafika siku wakaonana basi huyo jamaa naye aka mwambia demu wako kuwa ana mpenda, demu wako akawa ana muelewa ila tatizo likawa ni YUKO NA WEWE, unge wish demu wako afanyanje!!?
Ukisha pata jibu, igeuze stori irudishe kwako fanya ambacho ungewish kitokee

*vile ambavyo ungetaka wewe utendewew basi watendee na wengine vivyo hivyo.
umeongea kwa busara hadi raha. halafu nikapata wazo umesikia maumivu kweli yani kitendo anataka kufanya.
 
umeongea kwa busara hadi raha. halafu nikapata wazo umesikia maumivu kweli yani kitendo anataka kufanya.

Maumivu nayajua kwa kweli!
Huyu jamaa ana angalia upande wake tu, ana sahau, kuwa mwenzie ata umia.
Siku zote ukiwa hujapitia shida unakuwa una jifikiria wewe tu.
 
Kuna dem nilisoma nae chuo, Nilikuwa nampenda sana sasa kutokana na hali yangu na yake sikuweza kujiongeza kwake, leo hii niko nae Kwenye kundi moja la whatsapp ... najaribu kumwelezea hisia zangu juu yake ananielewa ila TATIZO ANA JAMAA YAKEE...

Nifanye nn mm na mtoto nnampenda sanaa
Mkuu huyo mwanamke una mpango wa kumuoa?
 
unaweza toa Ushauri Jamaa akomae na demu,kumbe unamshauri kugongwa kwa demu wako...nikae kimya Mie
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom