Classmate kaniteka akili zangu

Classmate kaniteka akili zangu

Perry yaan sina uakribu nae kivile na hivi nisha mwelezea hisia zangu

Hata nikimwomba tuonane hataki tenaaaaa then yy anaishi mbal kidogo mm niko mitaa ya airport na yy huko bunjuu
 
Kuna dem nilisoma nae chuo, Nilikuwa nampenda sana sasa kutokana na hali yangu na yake sikuweza kujiongeza kwake, leo hii niko nae Kwenye kundi moja la whatsapp ... najaribu kumwelezea hisia zangu juu yake ananielewa ila TATIZO ANA JAMAA YAKEE...

Nifanye nn mm na mtoto nnampenda sanaa
Pigana mpaka tone la mwisho as long as hajaolewa rasmi. Si rahisi kukuta msichana ambaye hana mtu kabisa, na mbaya kuna watu wanamiliki hata 10 kwa hiyo hapo ni kuporona tu. Usiogope kwani kuna wakati chui anamwua swala na fisi from nowhere anampora chui kitoweo chake tena mchana kweupe.
 
Uzuri ni kwamba unajua kuwa anajamaa yake. Hata wewe mwenyewe huenda unsye wako mpaks sasa. Kwa nini unatamani mwanamke asiye make wako? Hii ni Sawa na ulafi.
 
Uzuri ni kwamba unajua kuwa anajamaa yake. Hata wewe mwenyewe huenda unsye wako mpaks sasa. Kwa nini unatamani mwanamke asiye make wako? Hii ni Sawa na ulafi.
Sawa sawa nimekuelewa

Sio kama nna mtaman mm nna mpendaa

Ana kila ninacho hitaji kwa mwanamke ambae nataka kuwa nae (dreaming girl)
 
Kuna dem nilisoma nae chuo, Nilikuwa nampenda sana sasa kutokana na hali yangu na yake sikuweza kujiongeza kwake, leo hii niko nae Kwenye kundi moja la whatsapp ... najaribu kumwelezea hisia zangu juu yake ananielewa ila TATIZO ANA JAMAA YAKEE...

Nifanye nn mm na mtoto nnampenda sanaa
Tafuta hela zaidi ya Jamaa yake kwanza atakuja mwenyewe,sio hela za manati,au niseme tafuta hela nyingi watakufata kama nyuki ..
 
Tafuta hela zaidi ya Jamaa yake kwanza atakuja mwenyewe,sio hela za manati,au niseme tafuta hela nyingi watakufata kama nyuki ..
Pesaa ndo mchawi au sio

Pesa zenyewe zimekazaaa kinyamaa hazipatikan
 
Pesaa ndo mchawi au sio

Pesa zenyewe zimekazaaa kinyamaa hazipatikan
Hakuna anaetaka kusikia Nakupenda sijui Ilove u mara ur the One,mara your the only fish ni my sea,yanini yote hayo
tafuta pesa watadondoka kama mende alopukiziwa Pif paf, huna hena mbona hata kama hana bwana atakwambia anae
nani anataka mikosi yakutakiwa na bwana asopesa lol............
 
Hakuna anaetaka kusikia Nakupenda sijui Ilove u mara ur the One,mara your the only fish ni my sea,yanini yote hayo
tafuta pesa watadondoka kama mende alopukiziwa Pif paf, huna hena mbona hata kama hana bwana atakwambia anae
nani anataka mikosi yakutakiwa na bwana asopesa lol............
Duh Ahsantee limepenyaaaa ilo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom