Classmate kaniteka akili zangu

Classmate kaniteka akili zangu

usatz

Member
Joined
Sep 4, 2016
Posts
96
Reaction score
45
Kuna dem nilisoma nae chuo, Nilikuwa nampenda sana sasa kutokana na hali yangu na yake sikuweza kujiongeza kwake, leo hii niko nae Kwenye kundi moja la whatsapp ... najaribu kumwelezea hisia zangu juu yake ananielewa ila TATIZO ANA JAMAA YAKEE...

Nifanye nn mm na mtoto nnampenda sanaa
 
Jibu simple

Chukulia wewe una demu wako halafu kuna jamaa, alikuwa ana mpenda lakini hakumwambia ikafika siku wakaonana basi huyo jamaa naye aka mwambia demu wako kuwa ana mpenda, demu wako akawa ana muelewa ila tatizo likawa ni YUKO NA WEWE, unge wish demu wako afanyanje!!?
Ukisha pata jibu, igeuze stori irudishe kwako fanya ambacho ungewish kitokee

*vile ambavyo ungetaka wewe utendewew basi watendee na wengine vivyo hivyo.
 
Kuna dem nilisoma nae chuo, Nilikuwa nampenda sana sasa kutokana na hali yangu na yake sikuweza kujiongeza kwake, leo hii niko nae Kwenye kundi moja la whatsapp ... najaribu kumwelezea hisia zangu juu yake ananielewa ila TATIZO ANA JAMAA YAKEE...

Nifanye nn mm na mtoto nnampenda sanaa
ENDELEA KUWA WHATSAPP GROUPMATE MAANA NDIPO AMBAPO UFAHAMU WAKO ULIPOKOMEA.......
Mshika pembe
by a nature
 
Jibu simple

Chukulia wewe una demu wako halafu kuna jamaa, alikuwa ana mpenda lakini hakumwambia ikafika siku wakaonana basi huyo jamaa naye aka mwambia demu wako kuwa ana mpenda, demu wako akawa ana muelewa ila tatizo likawa ni YUKO NA WEWE, unge wish demu wako afanyanje!!?
Ukisha pata jibu, igeuze stori irudishe kwako fanya ambacho ungewish kitokee

*vile ambavyo ungetaka wewe utendewew basi watendee na wengine vivyo hivyo.
 
kwani si umwambie na wewe una mtu wako then mnanetralize maziwa na sumu
 
Unataka ufanyeje!!? Utakachomfanya na wewe utafanyiwa na jamaa yake
 
Upo nae group moja la wasapu...nikajua upo nae group moja la damu
 
Jibu simple

Chukulia wewe una demu wako halafu kuna jamaa, alikuwa ana mpenda lakini hakumwambia ikafika siku wakaonana basi huyo jamaa naye aka mwambia demu wako kuwa ana mpenda, demu wako akawa ana muelewa ila tatizo likawa ni YUKO NA WEWE, unge wish demu wako afanyanje!!?
Ukisha pata jibu, igeuze stori irudishe kwako fanya ambacho ungewish kitokee

*vile ambavyo ungetaka wewe utendewew basi watendee na wengine vivyo hivyo.
Usimtishe mkuu.. We dogo ng'ang'ania mzigo huo mpaka uutafune.... Mademu wanagia zao za kukupima... Moja wapo ni hiyo ya kusema kuwa nafasi imeshawahiwa...
Issue ya kusema kuwa ajiweke kwenye nafasi ya huyo jamaa ni upuuzi mtupu.. Tambua kwamba you have to fight for your love.. ! After all inawezekana kuwa huyo jamaa anamchezea huyo demu na hampendi wala nini and so kujiingiza katikati yao unamsaidia huyo demu cause mnaweza mkaenda mbali mpaka kufika kwenye ndoa.. !
By the way... Kama wameshaoana haina jinsi ila ni kukaa pembeni tu! Nakutakia mafanikio kwenye hiyo venture unayoipursue
 
Jibu simple

Chukulia wewe una demu wako halafu kuna jamaa, alikuwa ana mpenda lakini hakumwambia ikafika siku wakaonana basi huyo jamaa naye aka mwambia demu wako kuwa ana mpenda, demu wako akawa ana muelewa ila tatizo likawa ni YUKO NA WEWE, unge wish demu wako afanyanje!!?
Ukisha pata jibu, igeuze stori irudishe kwako fanya ambacho ungewish kitokee

*vile ambavyo ungetaka wewe utendewew basi watendee na wengine vivyo hivyo.
Ahsantee nimekuelewa mkuu ila mtoto me Ananichanganyaa balaa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom