Civil Engineering UDSM

Hamna kozi duniani ambayo haina soko kama UNA UJUZI KICHWANI na kama ni mtu wa kujiongeza hasa kwenye kutafuta maarifa na connection.
Kumbe wewe jamaa umesoma CIVIL.
Sasa mbona unakujaga kuchangia nyuzi za programming & software development. Ama ni Mambo ya self-taught.
 
Huyo alimaliza pale udsm mwaka 2011 kama sikosei.. Infact hata bado zingekua zipo ni jina tu maana nyuma ya pazia wanasoma kila kitu kuanzia barabara mpaka majengo! Na huyo jamaa pamoja na kazi yake ila alisimamia sana miradi ya barabara hapo dsm (kama sikosei alikua moja ya mainjinia walio simamia mradi wa barabara za mwendokasi)!!
 
Kumbe wewe jamaa umesoma CIVIL.
Sasa mbona unakujaga kuchangia nyuzi za programming & software development. Ama ni Mambo ya self-taught.
Sijasoma civil as civil japo pamoja na hayo programming tulisoma chuo! Ila kikawaida programming ni kitu kila mtu anatakiwa atleast ajue basics zake na ndio maana wakati sisi tunangoja tufundishwe php na prof chuoni huko nje utakuta mtoto ana miaka 11 lakini humwambii chochote kuhusu python au C programming!!

Programming is science na engineering ni application ya science so usishangae mimi kujua programming!
 
Kaka unachoongea kina ukweli ata sisi uku wa umeme Kuna vitu hutakaa ufundishwe yaan intro usipojiongeza umeenda
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…