CISA- Certified Information Systems Auditor

CISA- Certified Information Systems Auditor

mojoki

JF-Expert Member
Joined
Oct 21, 2010
Posts
1,313
Reaction score
291
Ndugu Wadau msaada kwenye tuta:

Nahitaji sana kusoma hii course na sina ufahamu inapotolewa kwa hapa Tanzania, mwenye ufahamu Tafadhali anisaidie

Ningependa kupata maelezo kuhusu mahali inapotolewa, Contact, Course Duration na hata fees cost kama inawezekana, Detail yoyote kati ya tajwa hapo juu zitakua na msaada mkubwa sana kwangu

Kind regards
 
hahahah woga wako ndio umaskini wako.........

not as simple as you can write.........uwoga ndio utimamu wenyewe coz huleta precautions, so brings precise, carefulness and safety!!!!
 
not as simple as you can write.........uwoga ndio utimamu wenyewe coz huleta precautions, so brings precise, carefulness and safety!!!!
the definition ya woga u provided here not applied to this century under consideration ull die poor
 
mjinga akijitambua mwerevu yupo matatani
what do you want to insinuate here !!!!!! maana naona unakoelekea!!!!!!kama kitu ni ghali kwako wengine wanaweza ku afford huwezi unaacha soma kile unachoweza usikatishe watu tamaaa,unajua faida ya hiyo course kwa graduate???USD 1600 ni kama 2.6m ni hela ndogo sana ukijipanga
 
ACHA Kdanganya wa2 website ipo wapi hapo
Mda mwingine kumjibu mjinga yahitaji busara sana.,ujinga ni nusu ya mauti



alafu unajiita DR. FYUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUU
 
pia unaweza waona UCC watakupa habari muhimu na za uhakika,naamini hivyo
Ndugu Wadau msaada kwenye tuta:

Nahitaji sana kusoma hii course na sina ufahamu inapotolewa kwa hapa Tanzania, mwenye ufahamu Tafadhali anisaidie

Ningependa kupata maelezo kuhusu mahali inapotolewa, Contact, Course Duration na hata fees cost kama inawezekana, Detail yoyote kati ya tajwa hapo juu zitakua na msaada mkubwa sana kwangu

Kind regards
 
Ndugu Wadau msaada kwenye tuta:

Nahitaji sana kusoma hii course na sina ufahamu inapotolewa kwa hapa Tanzania, mwenye ufahamu Tafadhali anisaidie

Ningependa kupata maelezo kuhusu mahali inapotolewa, Contact, Course Duration na hata fees cost kama inawezekana, Detail yoyote kati ya tajwa hapo juu zitakua na msaada mkubwa sana kwangu

Kind regards

I can vote for igcl. Wako vizuri. Done ma tuitorial there in 2010. Wako vizuri. Ada ilikuwa 1200 dollas. Hapo pesa ya mtihani haipo ndani.
 
Hello Mojoki,

Samahani naomba niku ulize kitu, kwanini umeamamua unataka kusoma hii course? Sasa hivi unafanya kazi inayohusu mambo yapi? What is your background in education and professional certifications?

I hope hautamind maswali yangu.



Ndugu Wadau msaada kwenye tuta:

Nahitaji sana kusoma hii course na sina ufahamu inapotolewa kwa hapa Tanzania, mwenye ufahamu Tafadhali anisaidie

Ningependa kupata maelezo kuhusu mahali inapotolewa, Contact, Course Duration na hata fees cost kama inawezekana, Detail yoyote kati ya tajwa hapo juu zitakua na msaada mkubwa sana kwangu

Kind regards
 
ata last week nilikuwa arusha niliona tangazo kile chuo cha uhasibu njiro kuna review pia
 
what do you want to insinuate here !!!!!! maana naona unakoelekea!!!!!!kama kitu ni ghali kwako wengine wanaweza ku afford huwezi unaacha soma kile unachoweza usikatishe watu tamaaa,unajua faida ya hiyo course kwa graduate???USD 1600 ni kama 2.6m ni hela ndogo sana ukijipanga

Usiwe na hasira, a best learned person is that person who can tolerate and accomodate a not learned peson, hoja pangua kwa hoja sio kwa hasira........Be realistic at any point of your tone, it pays good rewards i guarantee, 2.6mln sio ndogo kwa yeyote yule hata kwako pia, no matter how much your balances read...............sina ubavu wa kumkatisha mtu tamaa, km mtu anaweza kupick pocket 2.6mln lazima atakuwa na sound minds.............faida ya hio course naijua since 2008 i usually come accross its applications, i stand firm that much is too much, just say you are one of the beneficiary of the deal, so you must defend your interest, goodluck......am finding the money and come to read your course, if its a course or a programme!!!!!
 
Mda mwingine kumjibu mjinga yahitaji busara sana.,ujinga ni nusu ya mauti



alafu unajiita DR. FYUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUU

what does it cost you to tolerate ujinga wa mtu?????????
 
Back
Top Bottom