CISA certification

CISA certification

Kisendi

JF-Expert Member
Joined
Jan 29, 2009
Posts
699
Reaction score
180
Napenda kujua soko la hii certification kupata kazi.
 
Mbona ina Soko ndo ma auditor wa uhasibu wa computer
 
CISA certification in soko kwa upande wa ajira. kwa statistics zilizopo watu ambao ni CISA certified hawavuki 80 tanzania nzima na wote wana ajira zao za maana, Ni information systems auditor na imeanza kuwa recognised serikalini. majuzi NSSF walitangaza nafasi kibao za kazi, one of the requirement ilikuwa uwe na CISA, TRA pia walitangaza kazi,, Tanesco na mahali pengi kama unafatilia magezeti. na pia unakuwa na wigo mkubwa wa kufanya consultancy, eneo la IT Audit halijavamiwa na makanjanja, na linahitaji weredi wa kutosha kuifanya kazi hii. kazi zipo nyingi hasa za kujiajiri .

Kwa maelezo zaidi wasiliana na True In Associates wao wanatoa training za CISA na madarasa yanaendelea ..ama wasiliana na Sam Mujinja No. 0713 451713 or 0764978313.

Thanks
 
mzee wa ndonga;

Mimi sio member wa ISACA Chapter TZ je naweza kuwa member na kuweza kulipia kwa mtihani wa June 2015 inawezekana. Lakini pia lazima niingie darasani siwezi kusoma peke yangu nikafaulu au kunaugumu fulani. Je inachukua muda gani kukipata cheti chao cha CISA certification kama mimi nina miaka 7 kwenye industry ya IT
 
Last edited by a moderator:
True Ink Associates would like to Announce that the Third CISA (Certified Information Systems Auditor) ReviewClasses is scheduled to commence on Monday 20/04/2015, and it will be conducted in Dar Es Salaam City Center, Raha Tower Building 4th Floor at the Institute of Internal Auditors (IIA) Conference Room. For those who are interested to sit for June 2015 or September 2015 CISA Exams are warmly welcomed.

The CISA training provided will equip candidate's with technical skills and knowledge in various areas that will help candidates towards passing the CISA exam.

We have experienced trainers with more than 10 years in Information Systems Audit, Information Security, Compliance, Risk Management and IT Governance.

The course Duration is 5 weeks, 3 hrs a day, from Monday to Friday, starting from 17:00-20:00 hrs in the evening. Additional one week will be provided for intensive review on sample questions and in depth discussion on various areas as we have almost 1,200 questions covering the entire 5 modules.

The course Fee is TZS 700,000/= which includes course materials like questions, answers and explanations, Course Manual and other supplementary materials.


Register to reserve your sit.


For more information please Contact us through +255 713451713.
For Payment Details😛ay through the below Account.

TRUE INK ASSOCIATES
ACCOUNT NUMBER: 00110203226501
BANK NAME: MKOMBOZI BANK
ST JOSEPH BRANCH.
 
Kisendi.
Kama unataka kuwa ISACA member unatakiwa ulipe USD 185. hii ina maanisha USD 130 inaenda ISACA international na USD 50 inabaki ISACA tanzania Chapter..Dealdile ya kulipia mtihani kwa June ime kuwa extended, na unaweza kupitia website ya isaca.org for more details.

Nimetuma details za training hapo na kwa maelezo zaidi check up with me through

255 713451713 or 0764 978313
 
Last edited by a moderator:
Je ni lazima kwa mtu anayetaka kusoma course hii awe na proffessional ya IT....?mfano mtu umemaliza masomo ya Business adm,inakuwaje?waweza soma?
 
Mtu yoyote mwenye elimu ya kuanzia Diploma na kuendelea anaweza kusoma course hii,. zamani kulikuwa na mtizamo kuwa ni watu wa IT tu ndo wanatakiwa kusoma CISA..
CISA inaruhusu mtu yoyote either ni graduate from college or university or mtu yoyote ambaye anafanya kazi ktk maeneo mfano security, compliance, controls,investigation dept,audit, database administrator, risk,accounts,monitoring sections etc.
Kwani utaanza kufundishwa mwanzo kuanzia basics on how to conduct am information systems audit hadi how to protect information assets.

Nimewafundisha wanafunzi wengi ambao ni non IT na wamefaulu..
Kwa taarifa zaidi please contact me through 0713 451713 OR 0764 978313

 
Rwechungura1.

Asante kwa swali zuri.

Issue ya kujiajiri sio tatizo. Cha muhimu kwanza uwe na skills na knowledge ya hicho unachotaka kujiajiri, na hatua ya kwanza kama unataka kujiajiri kwenye IT Audit ni kuwa certified na CISA.

Hii itakufanya uaminike na watu kuwa u hav minimum skills and knowledge to perform the task. Ukishaipata through network kazi za consultancy ziko nyingi sana Tanzania.. Kuna shortage ya makampuni ya Audit yanayofanya IT Audit per see.

Unaweza ukaanza na kazi ndogondogo na kisha ukitanuka unafungua kampuni yako ama unasajili business name unakuwa na legal documents kwa ajili ya kufanya kazi.. ISACA Tanzania chapter pia wanaruhusu ukipata kazi unapeleka kisha mnagawana 80 by 20.

So ni hatua kwa hatua. Am telling you ukishapata CISA ndo utajua nini maana ya haya nayoyaongea..
Hata world wide CISA is among the 5 highly paid certification in the world ..

So it is a step by step...
Waweza kuwasiliana nasi kwa ushauri zaidi...
 
kuku wa kienyeji.
Asante kwa swali zuri.

Ile ya kufundishwa darasani ni almost 5 weeks ama 6 weeks, masaa matatu kwa siku, jumatatu hadi ijumaa. Na ile ya kusoma online also it depends na speed yako ya uelewa na muda unaotenga kwa ajili ya kujisomea...

Lakini pia before exams unahitaji almost two weeks za kurudia manual na kufanya maswali mengi kwa kadri iwezekanavyo, kwani tuna database yenye maswali zaidi ya 1,200. Na pia kupitia other supplementary materials ambazo ziko recommended na ISACA..

Kwa maelezo zaidi wasiliana nasi.
 
kuku wa kienyeji.
Kabla ya kuwa certified inatakiwa usome.. It depends unahudhuria review classes ama unasoma mwenyewe; na ukishasoma ni lazima ufanye registration ya mtihani kwa ISACA international..

Fee inategemeana kama ni member wa ISACA ama sio member...na exams zinafanyika mara tatu kwa mwaka, June, September na December.. Na Tanzania tuna ISACA local chapter ambayo inafanya moderation ya hizi course, so ukishasoma, mtihani ni one day katika miezi hiyo niiyoandika hapo juu. Maswali ni 200 na duration is 4hrs .

So kuchukua muda gani kupata certification inategemeana na wewe,,ukifanya mtihani ukafaulu sasa..unatakiwa ufanye application ya kuipata hiyo certification yako...na kama umekamilisha vigezo vyote inachukua almost a month kupata certification yako, na ambayo ukishaipata kila mwaka lazima ilipie fee kwa ajili ya cisa maintanace..

Ila ili kupewa CISA certification, napo kuna vigezo. U need 5 yrs experience in either audit, insurance, compliance, ama ni database administrator,accountant etc, na ingawa huwa wanafanya education waiver substitution experience ya kazi..

Nadhani nimekujibu swali lako.na kama kuna maelezo ya ziada unahitaji nipo tayari kukuelewesha..
 
mzee wa ndonga;

Mkuu nimekupata. Inamaana ukishapiga pepa zao kwa mfano June, ukafaulu unakuwa umemalizana nao ?? Kinachobakia ni experience, kama huna
 
Last edited by a moderator:
Fundi el makro.
Mtihani wa CISA una maswali 200..pass mark ni 450...na total mark ni 800..kama ukipata marks 800 manake unakuwa umepata maswali yote..na hii mathematically haimaanishi kuwa kila swali ni marks 4..this is a scalled scrore ambayo wabafanya calculation kulingana na weight ya kila chapter..kwa maana chapter I na II kila moja ina contribute maswali 28..chapter III maswali 38..chapter IV maswali 46 na chapter V maswali 60..so kuna calculation ambazo wanazifanya ili uweze kufaulu,, wanachotaka ni uwe na minimim skills and knowledge across the entire chapters..ila chapter I pia ni muhimu uifaulu..kwani ndio inakufundisha basics on how to conduct an IT audit..inakufundisha standards and assurance tools..inakufundisha code of professional ethics..inakufundisha how to conduct an audit engagement, how to perform risk assessmanr etc....

Na kama ukishafeli mara moja ISACA wanakuruhusu as many times as you can kurudia..hawana limitations,,ni bidii yako..ila naamini kama mtu uko serious haiwezi kuzidi zaidi ya mara mbili kabla haujafaulu...

Nadhani kwa maelezo hayo yatakuwa yamekufaa..kama utahitaji ellaboration zaidi please wasiliana na mimi..


Sam
 
Last edited by a moderator:
kuku wa kienyeji

Ukishafaulu mtihani kama hauna experience ya miaka mitano inabidi usubirie,,na wao wanakupatia maximum of 5 yrs to show evidence kuwa u have been practising vitu nilivyoviandika hapo juu kabisa...

 
Back
Top Bottom