Mara ya mwisho kumuona ni ktk jukwaa la Ajira!akifurahia na kushanglia kupata kazi Utumishi wa umma!amekauka sana jukwaani!yawezekana ni majukumu ya kitaifa!lakini pitiapitia hata huku!dah kweli kazi tamu...
Mara ya mwisho kumuona ni ktk jukwaa la Ajira!akifurahia na kushanglia kupata kazi Utumishi wa umma!amekauka sana jukwaani!yawezekana ni majukumu ya kitaifa!lakini pitiapitia hata huku!dah kweli kazi tamu...
kaka kuandika uandike wewe, halafu gunia la misumari unitwike mie hahahah...umeniacha solemba ndio maana nimeamua kuuliza atii...si unajua kuna mrembo tunamsaka hapa
kaka kuandika uandike wewe, halafu gunia la misumari unitwike mie hahahah...umeniacha solemba ndio maana nimeamua kuuliza atii...si unajua kuna mrembo tunamsaka hapa