Cialis

Mavindozii

JF-Expert Member
Oct 20, 2012
2,111
2,781
Wakuu wa Nchi leo nimeenda kununua cialis nikaambiwa vidonge 4 ni 95 elfu ,nikaacha nikaenda phamacy nyingine wakasema 4 pills ni 15 elfu .sasa wakuu Kuna fake na OG ,sikununua tena , mpaka nipate ushaurii hapa JF from Dr ,asante sana wana JF .
 
Wakuu wa Nchi leo nimeenda kununua cialis nikaambiwa vidonge 4 ni 95 elfu ,nikaacha nikaenda phamacy nyingine wakasema 4 pills ni 15 elfu .sasa wakuu Kuna fake na OG ,sikununua tena , mpaka nipate ushaurii hapa JF from Dr ,asante sana wana JF .
Hivyo vidonge alivyokuandikia huyo Doctor Cialis hakupendi ukija kuviacha utakuwa huna tena Nguvu zako za kiume kama huamini jaribu kuvitumia. Huyo Daktari aliye kuandikia hivyo vidonge hakupendi kabisa afya yako anataka uwe mteja wa vidonge shauri yako. Soma Madhara ya kutumia Vidonge vya Cialis hapa chini:

Cialis side effects

Get emergency medical help if you have any signs of an allergic reaction to Cialis: hives; difficulty breathing; swelling of your face, lips, tongue, or throat.

Stop using Cialis and get emergency medical help if you have:


  • erection is painful or lasts longer than 4 hours (prolonged erection can damage the penis);
  • vision changes or sudden vision loss; or
  • heart attack symptoms - chest pain or pressure, pain spreading to your jaw or shoulder, nausea, sweating.

Also call your doctor right away if you have:


  • ringing in your ears, or sudden hearing loss;
  • irregular heartbeat;
  • swelling in your hands, ankles, or feet;
  • shortness of breath;
  • seizure (convulsions); or
  • a light-headed feeling, like you might pass out.

Common Cialis side effects may include:


  • headache;
  • sinus pain, sore throat; or
  • muscle pain.
This is not a complete list of side effects and others may occur. Call your doctor for medical advice about side effects. You may report side effects to FDA at 1-800-FDA-1088. Source.Cialis Uses, Dosage & Side Effects - Drugs.com
 
Mavindozii kipindi cha nyuma tulifanya test ya cialis hapa dar. Tulichukua sample kama maduka 15 kuhakiki ubora na kama ni genuine. Kati ya hayo maduka duka moja tu ndo sample ilikuwa yenyewe. Zingine zilikuwa fake.

Cialis zingine zilikuwa na ingredients ambazo hata hazifahamiki. Duka LA JD mlimani city ndo ilikuwa ya kweli.

Kama mdau alivyosema hapo juu ukianza kutumia ndo imetoka inabidi uwe unatumia Mara kwa Mara. Labda uwe na discipline nzuri kwamba hutumii kidonge zaidi ya kimoja kwa siku tatu. Kwa sababu kidonge kimoja nguvu yake inachukua mpaka siku tatu.

Cialis haifanyi dushe isimame kama huna nia ila inaifanya isimame strong na kwa mda wa ziada kuliko kawaida kama ukiwa eroused. Kama huna mwanamke inanywea.

Cialis ina dawa ya tadalafil kama sijakosea ambayo sio mbaya kama Viagra.

Hizo za elfu tano ni kama cialis lakini brand name Sahel kutoka Egypt.

Kazi kwako.
 
Mkuu hapa Dar kuna pharmacies zinazoaminika kununua madawa aina mbalimbali....kuna utafiti ulifanywa na TFDA wakagudua kwamba cialis utakayonunua buguruni inatofauti sana na utakayonunua kariakoo, masaki, vingunguti,au namanga sijui uko wapi.....

mimi sijui bei ya hii dawa ila nivizuri kwenda kwenye reliable pharmacy nakumuuliza muuzaji hiyo dawa imetoka wapi....either US, UK, SPAIN, AUSTRALIA etc jambo lapili nakuweea picha chini za kuweza kujua ipi ni fake ila naamini genuine bei yake itakua juu

211634d903e7327b93.jpg


211634d903e8f53389.jpg


211634d903e663d398.jpg


211634d903e5823183.jpg


211634d903e4d89e20.jpg


211634d903e422ce05.jpg
 
Km unatatizo la ukosefu au upungufu Wa nguvu za kiume chukua habbat soda vijiko vikubwa viwili, asali vijiko viwili vikubwa changanya kwenye glass moja ya maziwa ya nusu Lita!

Kunywa mchanganyiko huu asubuhi na jioni kwa muda Wa Siku 30 inshallah utapona kwa uwezo Wa mungu!!

Acha kuvuta sigara na kunywa mipombe ni hatari kwa Afya yako ya uzazi!!
 
Hivyo vidonge alivyokuandikia huyo Doctor Cialis hakupendi ukija kuviacha utakuwa huna tena Nguvu zako za kiume kama huamini jaribu kuvitumia. Huyo Daktari aliye kuandikia hivyo vidonge hakupendi kabisa afya yako anataka uwe mteja wa vidonge shauri yako. Soma Madhara ya kutumia Vidonge vya Cialis hapa chini:

Cialis side effects

Get emergency medical help if you have any signs of an allergic reaction to Cialis: hives; difficulty breathing; swelling of your face, lips, tongue, or throat.

Stop using Cialis and get emergency medical help if you have:


  • erection is painful or lasts longer than 4 hours (prolonged erection can damage the penis);
  • vision changes or sudden vision loss; or
  • heart attack symptoms - chest pain or pressure, pain spreading to your jaw or shoulder, nausea, sweating.

Also call your doctor right away if you have:


  • ringing in your ears, or sudden hearing loss;
  • irregular heartbeat;
  • swelling in your hands, ankles, or feet;
  • shortness of breath;
  • seizure (convulsions); or
  • a light-headed feeling, like you might pass out.

Common Cialis side effects may include:


  • headache;
  • sinus pain, sore throat; or
  • muscle pain.
This is not a complete list of side effects and others may occur. Call your doctor for medical advice about side effects. You may report side effects to FDA at 1-800-FDA-1088. Source.Cialis Uses, Dosage & Side Effects - Drugs.com

Duuuh kumbe jamaa anataka kujimaliza kabisa kwa kutumia midawa yenye madhara km Viagra!
 
Duuuh kumbe jamaa anataka kujimaliza kabisa kwa kutumia midawa yenye madhara km Viagra!

Muache atumie Vidonge vya Kizungu Aka Cialis akisha pata Madhara yake atatutafuta sisi akina MziziMkavu Wataalam wa Dawa za Mitishamba atakapo ishiwa na nguvu za kiume.

Mume aliyefia gesti akiwa na mke wa mtu alimeza viagra


attachment.php


Gladness Mallya na
Haruni anchawa
MIEZI michache baada ya mwanaume aliyetambulika kwa jina la Hamad Kipondo kufia gesti akiwa na mke wa mpangaji mwenzake, Latifa Seleman siri imevuja kuwa alimeza dawa za kuongeza nguvu za kiume ?viagra?.
attachment.php


Mwili wa Hamad Kipondo aliyefia gesti ukiingizwa kwenye gari.

MUME HAKUWA MHUNI!
Akizungumza na Amani kwa majonzi mazito hivi karibuni, mjane wa marehemu aitwaye Salma Abdallah ambaye ni Muuguzi Mwandamizi wa Hospitali ya Chadibwa, Ukonga Ilala jijini Dar es Salaam alisema mumewe hakuwa na tabia ya uhuni na siku ya tukio ilikuwa mara ya kwanza kukutana na mwanamke huyo.


attachment.php


Viagra.

CHANZO CHA KIFO
Kwa mujibu wa mwanamke huyo, ripoti iliyotolewa na daktari wa Hospitali ya Taifa ya Muhimbili ambaye ndiye aliyeufanyia uchunguzi mwili wa marehemu, ilionesha kuwa Hamad alitumia dawa za kuongeza nguvu za kiume ?viagra? ndiyo maana mauti yalimkuta ghafla.

attachment.php


Mwanamke aliyekuwa na marehemu gesti.
?Mume wangu alipata ajali mbaya mwanzoni mwa mwaka huu, akapata tatizo la presha na nguvu za kiume kupungua.
?Hivyo kwa mujibu wa ripoti ya daktari mtu ambaye ana presha akitumia dawa za kuongeza nguvu za kiume, hasa viagra uwezekano wa kupoteza maisha ni mkubwa. Ripoti ilisema presha ilimpanda mume wangu wakati wa tendo akafa.

attachment.php


Mke wa marehemu akifarijiwa na waombolezaji.

MWANAMKE ALIYEKUWA NA MAREHEMU AACHIKA
Kwa mujibu wa mjane huyo, mwanamke aliyekuwa gesti na mumewe siku ya tukio, Latifa aliachika kwa mumewe baada ya kutokea kwa tukio hilo kwani mume wake alimweleza hataki kumuona nyumbani kwake, kwa sasa anaishi kwa baba yake Majoe jijini Dar.

attachment.php

Mwili wa
marehemu ukiwa kwenye gari.


ILIKUWA SIKUKUU YA IDD EL FITR

Hamad alifikwa na mauti siku ya Idd Pili akiwa katika gesti moja iliyopo Kiwalani, Dar es Salaam ambapo alikuwa na mwanamke huyo.

Mazishi ya Hamad yalifanyika katika Makaburi ya Temeke, Dar huku ndugu wa marehemu wakimfutia kesi mwanamke huyo wakisema wanamwachia Mungu.


Waombolezaji wakiwa na mke wa marehemu.


DOO INASIKITISHA SANA POLENI SANA WAFIWA WABONGO MUSITUMIE VIAGRA JAMANI . VIAGRA VINAUWA JAMANI TUMIENI

DAWA ZA MITISHAMBA ANAZO TANGAZA MZIZIMKAVU HAZINA MADHARA SHAURI YENU.

 
Mkuu hapa Dar kuna pharmacies zinazoaminika kununua madawa aina mbalimbali....kuna utafiti ulifanywa na TFDA wakagudua kwamba cialis utakayonunua buguruni inatofauti sana na utakayonunua kariakoo, masaki, vingunguti,au namanga sijui uko wapi.....

mimi sijui bei ya hii dawa ila nivizuri kwenda kwenye reliable pharmacy nakumuuliza muuzaji hiyo dawa imetoka wapi....either US, UK, SPAIN, AUSTRALIA etc jambo lapili nakuweea picha chini za kuweza kujua ipi ni fake ila naamini genuine bei yake itakua juu

211634d903e7327b93.jpg


211634d903e8f53389.jpg


211634d903e663d398.jpg


211634d903e5823183.jpg


211634d903e4d89e20.jpg


211634d903e422ce05.jpg

Mikuku mataahira (broila) inawaharibu vijana mpaka wanaishiwa nguvu za kiume na kuhangaika kutafuta madawa ya bei ghali!!
 
hahahaha na hizi dawa zina madhara kama wakuu walivyoainisha hapo juu....wengine wanakufa...nadhani ni vizuri kupata ushauri wa dokta kabla ya kutumia....pia tazama umri ....haya sio mambo ya kufosi...mwanamke hakomoleki....sijawahi kusikia mwanamke kafariki kwa sex... ni males tu......tujichunge wababa
 
Kama ana prescription ina maana daktari wake ameshahakiki kuwa huyu mtu sio hypotensive

Ila kuna daktari anaweza kuprescribe Cialis kutibu ED kweli?Mbona hiyo sio matibabu

Tusaidiane madokta
 
Back
Top Bottom