The Dictator
JF-Expert Member
- Jul 20, 2018
- 4,323
- 11,762
Kwa mujibu wa CNN, shirika la kijasusi la Marekani (CIA) linaipa silaha makundi ya upinzani ya Wakurdi wa Iran (yaliyo nchini Iraq, kama vile KDPI) ili kuanzisha operesheni za ardhini magharibi mwa Iran. Lengo ni: kuchochea maasi makubwa dhidi ya utawala, kudhoofisha nguvu za kijeshi za Iran, na kutengeneza machafuko au maeneo huru (buffer zones) kama sehemu ya jitihada za Marekani baada ya mashambulizi na kifo cha Khamenei.
Utawala wa Trump umekuwa katika mazungumzo nao kwa hivi karibuni. Hata hivyo CIA imekataa kutolea maoni juu ya suala hili.
Utawala wa Trump umekuwa katika mazungumzo nao kwa hivi karibuni. Hata hivyo CIA imekataa kutolea maoni juu ya suala hili.