Mr ceragem
Senior Member
- Feb 22, 2015
- 109
- 65
Huku tunakoelekea sasa kubaya na haya mambo inaonekana yalifanyika miaka ya sabini na kufanikiwa, hivyo wameplan kutumia minara ya simu au ndege, magar yenye vifaa maalumu kwa ajili ya kucontrol akili yetu, swali je tupo salama au hata unachowaza leo ni mtu tu kaamua uwaze hivyo unavyowaza?
Kwa maelezo zaidi link hii hapa chini
US govt counterterrorism center accidentally releases ‘remote mind control’ documents - report
Kwa maelezo zaidi link hii hapa chini
US govt counterterrorism center accidentally releases ‘remote mind control’ documents - report