karim02
Member
- Apr 25, 2016
- 64
- 40
ExactlyUsibishe kila jambo ndugu haya mambo yanawezekana kabisa, mfano mdogo angalia kundi kubwa lilivyoathirika na matumizi mabaya ya mtandao hasa hizi smartphone, imesababisha watu wawe kama mazombie na kushindwa hata kutafakari mambo yenye manufaa kwa jamii...
Sent using Jamii Forums mobile app