Chupi zinaniwasha

Chupi zinaniwasha

Mambo ya misuli siyajui ila nahisi ni vazi la wenye busha. Chupi na busha wapi na wapi?
 
leo nimeenda dansi live band. Mmoja wa masteji show hakuwa amevaa chupi name mkoba wake ulikuwa unaonekana dhahiri na hivyo kusababisha midume ipagawe.
Mziki ulipoisha nikamsogelea na kumpongeza kwa umahiri wake. Nikamuuliza mbona hujavaa chupi akajibu kuwa tangu akiwa mtoto havai kwani akivaa huwashwa sana. Heee nikakoma mwenyewe. Hii ndio mombasa bwana
ndiyo maana huo ukumbi unajaza watu sana, si kwa sababu ya muziki tu, kuona hivyo vitu ni sehemu ya burudani.. Na fahari ya macho haifilisi duka..
 
Bend gani mdau... na wanapiga ukumbi gani?
 
Vidume vinauliza eneo la tukio wapi bila shaka watatia timu wakipewa location sahihi ha ha ha ha ha ha.
 
Basi awe anavaa vikaptula, au zile sijui ndio skin tight
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom