Zipo nyingi sana hapa Dar es salaam pale Sinza Makaburini upande wa kushoto kama unatokea Shekilango, shuka palepale. Zipo nyingi na za kila aina unaweza pata hata kontena zima la 40 feetWakuu naombna mnisaidie, nahitaji chupa za kuwekea wine za glass. Hata kwa kununua.
Vilevi feki vingi sana kwa sasa na njia mojawapo ya kupata chupa ni hiii. Naaamini hata hitaji linaenda huko maaaana hali sio. Hadi Imefunguliwa mpyaaaaaaa
Hapa tulipofikia tuache tu kunywa pombe tunatengenezewa maradhi ya figo na ini ila kuna watu wana roho mbaya sana.
We huoni huyo Mdau kaaamua kufungua ID mpya ili afanye kazi vzuri. Nashukuru kakutana na upinzani haswaaaHapa tulipofikia tuache tu kunywa pombe tunatengenezewa maradhi ya figo na ini ila kuna watu wana roho mbaya sana.
Kuna mdau kaniambia mpaka hizi lite watu wanazipika local
Uza soko hilo limekutafuta🤣🤣🤣 dah!
Wana zitumia kudecorate
Kwa sasa uzalishaji wa pombe feki umeshamiri sana sijui kipi kifanyike kuwaokoa watumiaji wa mwisho.
Nilishasema lakini nikatukanwa. Nilisema hivi: Kila raia ataonja ubovu wa uongozi wa CCM kwa wakati wake. Hakuna atayepona. Awe mwana CCM, asiwe mwana CCM au asiye na chama. Ni lazima.Hapa tulipofikia tuache tu kunywa pombe tunatengenezewa maradhi ya figo na ini ila kuna watu wana roho mbaya sana.
Kuna mdau kaniambia mpaka hizi lite watu wanazipika local
Chunga sana sehemu unayokunywa kinywaji chochote, japo hili linaweza kuwa gumu sana. Solution ya uhakika ni kuiondoa CCM.Kwa sasa uzalishaji wa pombe feki umeshamiri sana sijui kipi kifanyike kuwaokoa watumiaji wa mwisho.
Naunga mkono hoja, kwa sasa pombe imeanza kuwa hatari sijui mamlaka husika zinafanya kazi gani. Ni uzembe wa hii serikali yetuChunga sana sehemu unayokunywa kinywaji chochote, japo hili linaweza kuwa gumu sana. Solution ya uhakika ni kuiondoa CCM.
Very true. Ni wakati sasa tunatakiwa kutumia tumachotengeneza. Madukani kumejaa uchafu mwingi sana. Watu wanajiua kwa pesa zao.Hapa tulipofikia tuache tu kunywa pombe tunatengenezewa maradhi ya figo na ini ila kuna watu wana roho mbaya sana.
Kuna mdau kaniambia mpaka hizi lite watu wanazipika local
Halafu kuna jamaa alianzisha thread humu akiulizia anapoweza kuzipata chupa za wine zilizokwishatumika.Kwa sasa uzalishaji wa pombe feki umeshamiri sana sijui kipi kifanyike kuwaokoa watumiaji wa mwisho.
Nahisi ndio hiiHalafu kuna jamaa alianzisha thread humu akiulizia anapoweza kuzipata chupa za wine zilizokwishatumika.
Sure, ndiyo hiiNahisi ndio hii