Chuo kizuri kwa English course

Alphaking2023

JF-Expert Member
May 20, 2015
2,093
2,121
Naomba mwenye kujua chuo kizuri kinachotoa kozi ya kingereza hata kwa mtu mwenye kichwa kigumu anaelewa nahitaji kujua na gharama zake na kama kuna aliewahi kukisoma atoe ushuhuda kweli kiko vizuri kuna mtu anahitajika akajifunze lugha kwanza kabla hajaanza ishu zake, msaada wenu wanajamvi
 
Ras simba hajawahi kuwa na mpinzani kwenye kukremisha yai na jamaa anajinadi kwamba kwa wiki mbili ukishindwa kutema yai basi anakurudishia ada yako na makofi juu maana utakuwa hauna adabu.

Kila la kheri mkuu!
 
Ras simba hajawahi kuwa na mpinzani kwenye kukremisha yai na jamaa anajinadi kwamba kwa wiki mbili ukishindwa kutema yai basi anakurudishia ada yako na makofi juu maana utakuwa hauna adabu.

Kila la kheri mkuu!
Ha ha haa!! Huyo jamaa anapatikana wapi?
 
Mgunduzi wa formula ya kufundishia kiingereza anaitwa Ras Simba nadhani atakuwa Na msaada
 
Back
Top Bottom