Goodluck Boaz
Member
- Feb 26, 2020
- 43
- 26
Mdogo angu hapa nyumbani amefanya applications ya vyuo vitatu
1. IAA- Bachelor of Accounting and Finance
2. MoCU- Bachelor of Accounting and Taxation.
3. ITA- Bachelor of Custums and Taxation Management,na amepata vyote, sasa anapendelea kwenda kusoma chuo cha kodi(ITA) ambapo ada ni 2.3 Million kwa mwaka, wakati huo IAA ada ni 1.5Millions, pia MoCU ada 1.1M.
Yeye anaamini sana kwenye chuo cha kodi ambacho gharama ni kubwa sana.. sasa nmepewa jambo hili kama kaka mkubwa wa familia nitoe majibu kipi kitakuwa bora zaid, yaan maanisha kama hcho cha 2.3M ni kizuri wazee apa nyumban wamsomeshe hata kwa kukopa au kuuza assets kwa imani ya kwamba akimaliza tu atapata kazi TRA.
Sasa kuna ukweli huo? Msaada tafadhari ila kama atamaliza kisha akae nyumban kam wenzake sisi tumsomeshe kwnye bei chee tu ili mambo yasiwe mengi,, naomba msaada wana JF.
N.B mkopo tayari ameapply yanasubiriwa majibu tu.
Asante
1. IAA- Bachelor of Accounting and Finance
2. MoCU- Bachelor of Accounting and Taxation.
3. ITA- Bachelor of Custums and Taxation Management,na amepata vyote, sasa anapendelea kwenda kusoma chuo cha kodi(ITA) ambapo ada ni 2.3 Million kwa mwaka, wakati huo IAA ada ni 1.5Millions, pia MoCU ada 1.1M.
Yeye anaamini sana kwenye chuo cha kodi ambacho gharama ni kubwa sana.. sasa nmepewa jambo hili kama kaka mkubwa wa familia nitoe majibu kipi kitakuwa bora zaid, yaan maanisha kama hcho cha 2.3M ni kizuri wazee apa nyumban wamsomeshe hata kwa kukopa au kuuza assets kwa imani ya kwamba akimaliza tu atapata kazi TRA.
Sasa kuna ukweli huo? Msaada tafadhari ila kama atamaliza kisha akae nyumban kam wenzake sisi tumsomeshe kwnye bei chee tu ili mambo yasiwe mengi,, naomba msaada wana JF.
N.B mkopo tayari ameapply yanasubiriwa majibu tu.
Asante