Baregu for President 2010
Baregu for Presida hata mtoe thread yake,
kuhusu kwenda SAUT mimi naona asihangaike sana nafikiri hana haja ya kuajiriwa yeye aendelee tu na mambo yake ya consultancy hasa katika politics na political science.
Hapa siyo pazuri maana wengi wa wahadhiri katika chuo kikuu cha Dar es salaaam wanaelekea kwenye age ya 60 hivyo kitendo cha kutoongeza mkataba wa Baregu wengi wanaweza kukichukulia kwamba wako hatarini.
Serikali haina budi kufikiria mara mbili kuhakisha huu mkataba unakuwa renewed mara moja otherwise ikae mkao wa kura katika kuelekea uchaguzi mkuu.
Serikali haina haja ya kujiingiza katika politics zisizo na tija katika kipindi hiki cha kuelekea uchaguzi Mkuu.
Achana na Baregu muongezee muda haina maana yoyote kutomuongezea muda. Kuna mambo mengi yanayotakiwa kushughulikiwa na serikali kuliko hili la Baregu.
Kwani huyo Baregu ana PHD ya sayansi hadi nyie mnaojiita wana taaluma mumlilie?
Nakumbuka mwaka 1990 wakati nasoma pale UDSM, profesa M.Luhanga aliyekuwa VC alisema 'maprofesa wanaotambuliwa UDSM ni wale wenye chembechembe za sayansi tuu na hakusita kusema Luhanga,kadete,Mwandosya ndio profesa halisi sio hao wa Kiswahili,sayansi jamii,DS,na ukambala mwingine!
Huyo Baregu aende tu huyo anakohitajika kwani suala la ajira ni jinsi gani mwajiri anavyojisikia kukuajiri.Tatizo la watz wengi hawasomi kwa kujiajiri wanategemea sana kuajiriwa na ndio unaona profesa mzima analilia kuajiriwa serikalini kwanini asijiajiri mwenyewe au ndio wale maprofesa mkate kwa chai,majimarefu,simbaulanga,munufu,kajura n.k?