Kuna jamaa amekuwa akinadi chuo chake, kwenye stesheni mbili za radio zinazomilikiwa na mashirika ya kidini kuwa kinafundisha kozi ya urubani na kozi nyingine za anga. Wadau chuo hicho hakifundishi kabisa kozi za urubani Pia yeye hujinadi kuwa ni rubani nayo sio kweli.
Hukiita chuo university wakati hakina sifa wala hakitambuliki kama chuo kikuu. Ada za kozi zake ni za ulanguzi e.g. Airport ground handling ths 2.5million, Flight operatons and airline management 5 million, sare ambazo ni lazima laki 4. Kwa vyuo vlivyopo airport eg cha serekali CATC na cha Regional Aviation, ada kwa kozi hizo ni Kati ya laki 8 na 1 million. Huwarubuni wazazi kuwa vijana wakihitimu kozi ya flight operatons wakiajiriwa kwenye mashirika ya ndege watakuwa wakiruka kusaidiana na marubani, jambo ambalo sio kweli. Walimu wenye sifa za kufundisha kozi hizo hana. Walio kuwepo kwa muda mfupi waliondoka, na aliyekuwa principal aliacha kutakana na utapeli uliopo.
Pamoja na ukurugenzi hujiita chief instructor, wakati hata leseni ya flight operatons officers hana. Huyo jamaa hulazimisha ngono kwa baadhi ya mwanafunzi wa kike. Aliisha fukuza wanafunzi wakiume kwa kuhisi wanamahusiano wanafunzi wa kike anowanyemelea. Mmoja wa mwanafunzi hao alipeleka malalamiko TCAA.
Alimtimua mwanafunzi wa kike aliyekuwa hataki kuendelea kukaa kwenye hostel ya chuo, ambayo ni nyumba ya kupanga, kwa usumbufu wa huyo jamaa kumtaka ki ngono. Wadau chuo kipo Tabata magengeni kwenye jengo la crdb.
Hukiita chuo university wakati hakina sifa wala hakitambuliki kama chuo kikuu. Ada za kozi zake ni za ulanguzi e.g. Airport ground handling ths 2.5million, Flight operatons and airline management 5 million, sare ambazo ni lazima laki 4. Kwa vyuo vlivyopo airport eg cha serekali CATC na cha Regional Aviation, ada kwa kozi hizo ni Kati ya laki 8 na 1 million. Huwarubuni wazazi kuwa vijana wakihitimu kozi ya flight operatons wakiajiriwa kwenye mashirika ya ndege watakuwa wakiruka kusaidiana na marubani, jambo ambalo sio kweli. Walimu wenye sifa za kufundisha kozi hizo hana. Walio kuwepo kwa muda mfupi waliondoka, na aliyekuwa principal aliacha kutakana na utapeli uliopo.
Pamoja na ukurugenzi hujiita chief instructor, wakati hata leseni ya flight operatons officers hana. Huyo jamaa hulazimisha ngono kwa baadhi ya mwanafunzi wa kike. Aliisha fukuza wanafunzi wakiume kwa kuhisi wanamahusiano wanafunzi wa kike anowanyemelea. Mmoja wa mwanafunzi hao alipeleka malalamiko TCAA.
Alimtimua mwanafunzi wa kike aliyekuwa hataki kuendelea kukaa kwenye hostel ya chuo, ambayo ni nyumba ya kupanga, kwa usumbufu wa huyo jamaa kumtaka ki ngono. Wadau chuo kipo Tabata magengeni kwenye jengo la crdb.