Chuo cha ufundi cha Mamtukuna-Rombo

Chuo cha ufundi cha Mamtukuna-Rombo

Prestigious

Member
Joined
Jun 23, 2016
Posts
15
Reaction score
4
Habari wadau wa jamiiforum, hongereni kwa majukumu ya leo. Naomba kwa yoyote mwenye kufahamu chuo cha ufundi cha Mamtukuna ambacho kipo wilaya ya Rombo, naomba anipe ufafanuzi kuhusu kozi zinazotolewa kule, utaratibu wa usajili, gharama kwa kozi na tarehe ya kuanza masomo. Je hiki chuo kipo chini ya VETA pia?
 
Habari wadau wa jamiiforum, hongereni kwa majukumu ya leo. Naomba kwa yoyote mwenye kufahamu chuo cha ufundi cha Mamtukuna ambacho kipo wilaya ya Rombo, naomba anipe ufafanuzi kuhusu kozi zinazotolewa kule, utaratibu wa usajili, gharama kwa kozi na tarehe ya kuanza masomo. Je hiki chuo kipo chini ya VETA pia?
Khabar za jion jaman kwa yeyote mwenye number za chuo cha mamtukuna naomba anisaidie
 
Back
Top Bottom