miambovu
JF-Expert Member
- Nov 17, 2016
- 378
- 777
Habari wakuu...nimekua nikijiuliza hiki chuo chetu pendwa kwanini hakina kozi ya udereva wa BODABODA ????ina maana haya MAJANGA yanayosababishwa na hawa madereva wetu BODABODA hawayaoni?????naombeni ufafanuzi kutoka Kitengo husika au yoyote mwenye upeo wa hili suala...Ahsanteni!?