Xtra Thinking
Member
- Jun 3, 2025
- 39
- 83
Wakuu mm ni mgeni humu Jamii Forums na hii ndo thread yangu ya kwanza kuandika.
Nina shida moja, mm ni mhitimu wa kidato cha sita mwaka huu na nimesoma PCM nimepata Division II ya 10
Physics D
Chemistry C
Mathematics C
Sasa ndoto yangu ni kusoma Mechanical Engineering na hii ndo iko moyoni kuliko zote, nimeapply vyuo vitatu DIT, NIT na MUST lakini kutokana na ushindani ninahofia inawezekana kukosa nafasi kwenye vyuo hivi nataka niapply na St Joseph University of Tanzania.
Naomba mnijuze wakubwa zangu hivi ubora wa elimu kwenye chuo cha St Joseph ni mzuri au itakuja kunipa shida muda wa kutafuta ajira maana nasikia kuna vyuo Bongo hapa kupata ajira ni ngumu mara mbili zaidi
Naomba uzoefu wenu wanajf. Hili chuo ni kizuri?
Nina shida moja, mm ni mhitimu wa kidato cha sita mwaka huu na nimesoma PCM nimepata Division II ya 10
Physics D
Chemistry C
Mathematics C
Sasa ndoto yangu ni kusoma Mechanical Engineering na hii ndo iko moyoni kuliko zote, nimeapply vyuo vitatu DIT, NIT na MUST lakini kutokana na ushindani ninahofia inawezekana kukosa nafasi kwenye vyuo hivi nataka niapply na St Joseph University of Tanzania.
Naomba mnijuze wakubwa zangu hivi ubora wa elimu kwenye chuo cha St Joseph ni mzuri au itakuja kunipa shida muda wa kutafuta ajira maana nasikia kuna vyuo Bongo hapa kupata ajira ni ngumu mara mbili zaidi
Naomba uzoefu wenu wanajf. Hili chuo ni kizuri?