Chuo cha SAUT - Mbeya kwachafuka

Chuo cha SAUT - Mbeya kwachafuka

MAKASSY

Member
Joined
Jan 16, 2013
Posts
95
Reaction score
26
Kwa taarifa ambazo tumezipata muda huu zinadai kuwa wanachuo wa chuo cha Saut-Mbeya kuna mgomo uliosababishwa na uongozi wa chuo hicho kumfukuza kazi lecturer anayejulikana kwa jina la Acran John kutokana na kinachodaiwa ni kutokana na shinikizo la Chama Cha Mapinduzi (CCM) ndio kupelekea wanafunzi kugoma kuingia madarasani.Kama kuna yeyote yuko eneo la tukio atujuze vizuri
 
Ni kazi kubwa na gharama kubwa sana kutengeneza maadui kuliko kutengeneza marafiki
 
Jamaa kanifundisha,anaitwa Acran John Peter.Hakika anajua na anajielewa.He is the revolutionist indeed.Anatafutwa na ccm kila kona huyu mkufunzi.
 
Kwa taarifa ambazo tumezipata muda huu zinadai kuwa wanachuo wa chuo cha Saut-Mbeya kuna mgomo uliosababishwa na uongozi wa chuo hicho kumfukuza kazi lecturer anayejulikana kwa jina la Acran John kutokana na kinachodaiwa ni kutokana na shinikizo la Chama Cha Mapinduzi (CCM) ndio kupelekea wanafunzi kugoma kuingia madarasani.Kama kuna yeyote yuko eneo la tukio atujuze vizuri

Niko Mbeya muda huu....hilo tukio ni la kweli, nina jamaa yangu anasoma hapo kanieleza jambo hilo...
Huyo mhadhiri nasikia ana mpango wa kwenda kugombea ubunge katika moja ya majimbo mkoani Kigoma.
Tatizo la migogoro SAUT mbeya pia linachangiwa na bwana mdogo Charles Mwakipesile ambaye anasoma hapo.
Mwakipesile ni MNEC wa ccm, mwandishi wa habari gazeti majira na mc maarufu hapa mbeya.
Tangu amejiunga na chuo hicho kama mwanafunzi alijaribu kugombea nafasi ya. urais wa serikali ya wanafunzi akapigwa chini kwa sababu ya uccm wake.
Anatumia nafasi ya unec kutaka kuifanya saut mbeya kiwe kambi ya ccm....

Tafakari...
 
Kwa stahili hiyo chuo kijiandae kukosa wanafunzi siku za sijazo. Ccm wana hiza vyuoni? Hivi vijana hawataki kabisa kujitambua? Ccm ndio inayowanyima ajira na stahili nyinginezo kama kusomeshwa bure na matibabu. Hivyo kuiunga mkono kwa namna yoyote ni sawa na kujikata kiungo chako muhimu cha mwili na kubaki kuwa mlemavu. Iacheni ccm ijifie kwani haina uwezo wa ku-survive kwa miaka mingine mitano. Amkeni vijana kwani ukombozi u miguuni mwenu msiupige teke mkajajuta maisha yenu yote.
 
Niko Mbeya muda huu....hilo tukio ni la kweli, nina jamaa yangu anasoma hapo kanieleza jambo hilo...
Huyo mhadhiri nasikia ana mpango wa kwenda kugombea ubunge katika moja ya majimbo mkoani Kigoma.
Tatizo la migogoro SAUT mbeya pia linachangiwa na bwana mdogo Charles Mwakipesile ambaye anasoma hapo.
Mwakipesile ni MNEC wa ccm, mwandishi wa habari gazeti majira na mc maarufu hapa mbeya.
Tangu amejiunga na chuo hicho kama mwanafunzi alijaribu kugombea nafasi ya. urais wa serikali ya wanafunzi akapigwa chini kwa sababu ya uccm wake.
Anatumia nafasi ya unec kutaka kuifanya saut mbeya kiwe kambi ya ccm....

Tafakari...
Mwakipesile siyo MNEC Mby kuwa mkweli na st. Augustine ni university Very strong u-cdm na u-ccm Hauwezi kuitikisa na huyo lecturer hakuwa hapo chuo kwa siasa zake bali kwa taaluma yake kitu ambacho naamini hbari hii imechakachuliwa!!!
 
Mwakipesile siyo MNEC Mby kuwa mkweli na st. Augustine ni university Very strong u-cdm na u-ccm Hauwezi kuitikisa na huyo lecturer hakuwa hapo chuo kwa siasa zake bali kwa taaluma yake kitu ambacho naamini hbari hii imechakachuliwa!!!

Kwa kuwa unamfahamu sana mwandishi nguli wa gazeti la majira na mc maarufu, lingekuwa jambo jema ungelieza jukwaa kama si mnec ni nani !?
Mimi binafsi ninamfahamu Mwakipesile kwa kiasi fulani na nafahamu vizuri kuwa ni kada wa ccm.
Kampeni za urais 2005 akishirikiana na mc chawe (r.i.p.) na mwana mama mary mwanjelwa walikuwa miongoni mwa timu ya kampeni ya jk...nimekupa kwa sehemu.
Inawezekana kuna nilipokosea kwenye andiko langu la kwanza nisahihishe bila jazba...

Tafakari...
 
Mkuu Mbugi, mimi sijasoma saut lakini mtu akiniuliza leo ni chuo gani kwa miaka ya sasa kinapika vijana wanaojitambua na wenye uwezo mkubwa katika kujenga na kutetea hoja ningetaja SAUT specifically Mwanza...

Tafakari...
 
Huyo lecturer ana mambo ya ajabu ajabu sana kama amefukuzwa ni kwa ajili ya ujinga wake mwenyewe wala sio sababu kwamba ya ucdm wake.
 
Huyo lecturer ana mambo ya ajabu ajabu sana kama amefukuzwa ni kwa ajili ya ujinga wake mwenyewe wala sio sababu kwamba ya ucdm wake.

Mambo ya ajabu ajabu ndo nn? Anatenda amiuiiza?
 
Hyo mwanafunz angeanz kw kutundikw sup kwnz ndo mengne yafuate.angenyook bla kutak....hiki chama cha majambawazi ni shiiieda maushuz mpk yanavimbisha tumbo..
 
Back
Top Bottom