Kwa taarifa ambazo tumezipata muda huu zinadai kuwa wanachuo wa chuo cha Saut-Mbeya kuna mgomo uliosababishwa na uongozi wa chuo hicho kumfukuza kazi lecturer anayejulikana kwa jina la Acran John kutokana na kinachodaiwa ni kutokana na shinikizo la Chama Cha Mapinduzi (CCM) ndio kupelekea wanafunzi kugoma kuingia madarasani.Kama kuna yeyote yuko eneo la tukio atujuze vizuri