Wahadhir wanaofundisha udom weng sana wametoka udsm na hata viongoz wake. Kwa hiyo mleta mada unataka kuniambia udssm mlikuwa hampat elimu ilio bora? Unapoleta mada hapa inakubid ujipange na sio kukurupuka tu.
Hivi UDOM ndo nini? its obvious ni chuo cha kata,naona hata wahitimu wake wanavyotokwa povu na mitusi hapa inadhihirisha kweli wanaoenda huko ni masalia ya wale waliofaulu Tz.
Ni masalia kwani nayaona hata huku ofisini yanavyoboronga na kutojiamini,na unafiki na ushamba na ukilaza.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.