Mandla Jr.
JF-Expert Member
- Dec 15, 2013
- 3,098
- 631
UDOM chuo kikuu kikubwa sana Tanzania na Africa Mashariki...
Kuna tetesi za muda mrefu kuwa chuo hiki kiko "KISIASA".
Wadau kwa wanaoujua ukweli naomba watujuze hapa. Pia kuna ishu ya wanachuo wanaodahiliwa chuoni hapo ya kuwa ni wale waliokosa nafasi katika vyuo vingine,,,Je hili nalo linaukweli wowote?
Kuna tetesi za muda mrefu kuwa chuo hiki kiko "KISIASA".
Wadau kwa wanaoujua ukweli naomba watujuze hapa. Pia kuna ishu ya wanachuo wanaodahiliwa chuoni hapo ya kuwa ni wale waliokosa nafasi katika vyuo vingine,,,Je hili nalo linaukweli wowote?