Chuo cha diploma ya masuala ya afya

Chuo cha diploma ya masuala ya afya

Nkundwe Sr

JF-Expert Member
Joined
Nov 30, 2014
Posts
6,301
Reaction score
9,809
Mdogo wangu ana Three ya 13 ya CBG tunaweza kupata wapi chuo cha diploma course yoyote ya afya
 
Mnaziba nafasi za watu wa form 4. Mnakwenda A level mnadunda mnarudi kutumia vyeti vya form 4
 
Mdogo wangu ana Three ya 13 ya CBG tunaweza kupata wapi chuo cha diploma course yoyote ya afya
Vyuo viko vingu mkuu...jaribu kuchacharika asee, muda unayoyoma sana.

Jaribu kucheki website za Bugando, KCMC, MUHIMBILI, RUCU, ST JOHN, UDOM...

Ingia Website ya NACTE kaangalie vyuo vya Afya (Guidebook)

Fanya hima maana muda umekutupa kweli...Yaani, jaribu bahati tu[emoji134]

Au cheki na vinavyotangazwa kwa TV
 
Mkuu, kwa mwaka huu naona kama yuko too late, I think TCU washaclose round zote & nacte pia mwisho no kesho kutwa tar 27 nafasi zilizobaki no kwenye private institute/college..
So a-wait mwakani, dirisha likifunguliwa tyu afanye yake
Vyuo viko vingu mkuu...jaribu kuchacharika asee, muda unayoyoma sana.

Jaribu kucheki website za Bugando, KCMC, MUHIMBILI, RUCU, ST JOHN, UDOM...

Ingia Website ya NACTE kaangalie vyuo vya Afya (Guidebook)

Fanya hima maana muda umekutupa kweli...Yaani, jaribu bahati tu[emoji134]

Au cheki na vinavyotangazwa kwa TV
 
Habari.naomba msaada hivi coz ya udaktari imegawanyika vipi unaso ewaje ya yapi majukumu ya daktari kulingana na kitengo chake nataka kuwa daktari hatimaye ila sijajua nitakuwa daktari was Nini nitajie nichague niikuze hiyo hali mapema
 
Back
Top Bottom