Mkuu pale wanatoa certificate ya Landmanagement and Valuation,graphic and design na Cartography.Pia wanatoa Diploma ya Cartography na kozi zote ni miaka miwili.Kuhusu ajira ya moja kwa moja hiyo wakati chiligati alipokuwa waziri aliahidi hivyo ila bado ni hadithi tu labda kwa badae sana si unajua siasa inaingilia taaluma za watu.Ushauri wangu kuna chuo pale UBUNGO PLAZA kinaitwa MUST COLLEGE kinatoa cerificate ya SPATIAL TECHNOLOGY(ni taaluma inayohusiana na Ardhi) na chuo kiko chini ya VETA ukimaliza unajiunga moja kwa moja na chuo cha TABORA ama MOROGORO unachukua Diploma.
Mkuu pale wanatoa certificate ya Landmanagement and Valuation,graphic and design na Cartography.Pia wanatoa Diploma ya Cartography na kozi zote ni miaka miwili.Kuhusu ajira ya moja kwa moja hiyo wakati chiligati alipokuwa waziri aliahidi hivyo ila bado ni hadithi tu labda kwa badae sana si unajua siasa inaingilia taaluma za watu.Ushauri wangu kuna chuo pale UBUNGO PLAZA kinaitwa MUST COLLEGE kinatoa cerificate ya SPATIAL TECHNOLOGY(ni taaluma inayohusiana na Ardhi) na chuo kiko chini ya VETA ukimaliza unajiunga moja kwa moja na chuo cha TABORA ama MOROGORO unachukua Diploma.