Perry
JF-Expert Member
- Feb 24, 2011
- 10,043
- 2,000
Habari zenu wana jf!kuna suala flan hua lnantatza sana,huku mtaan kwetu huwa kuna tetes znaseme kwamba hapa tanzania chuo chenye ubora kuliko vyote ni udsm kikifuatiwa na sua,muhimbili na ardhi bt kuna taarfa zngne znasema chuo bora hapa tz ni mzumbe, tumaini,saut,ifm,muccobs,kcmc,bugando na dit.sa hli lna2changanya sana sisi vijana ambao 2natarajia kujiunga na vyuo vkuu hiv karbun kwamba ni wap pa kuweza kupata elimu bora!!naomben mnieleweshe ndugu zangun